George Santayana : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 15: Mstari 15:
[[fi:George Santayana]]
[[fi:George Santayana]]
[[fr:George Santayana]]
[[fr:George Santayana]]
[[gd:Seòras Santayana – Feallsanach agus Bàrd (1863-1952)]]
[[io:George Santayana]]
[[io:George Santayana]]
[[it:George Santayana]]
[[it:George Santayana]]

Pitio la 05:07, 13 Agosti 2008

George Santayana (16 Desemba, 186326 Septemba, 1952) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi. Akiwa raia wa Hispania alilelewa na kusoma Marekani, kwa hiyo aliandika kwa lugha ya Kiingereza tu na kuangaliwa kama mwandishi Mmarekani. Anajulikana hasa kwa usemi wake "Wasiojifunza kutoka historia watairudia" (kwa Kiingereza: "Those who cannot learn from history are doomed to repeat it").