Sumeri : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboto: pt:Suméria estas artikolo elstara
d roboti Nyongeza: fy:Sumeriërs
Mstari 12: Mstari 12:


<!-- interwiki -->
<!-- interwiki -->

{{Link FA|ka}}
{{Link FA|pt}}


[[als:Sumer]]
[[als:Sumer]]
Mstari 38: Mstari 41:
[[fi:Sumer]]
[[fi:Sumer]]
[[fr:Sumer]]
[[fr:Sumer]]
[[fy:Sumeriërs]]
[[gl:Sumeria]]
[[gl:Sumeria]]
[[he:שומר]]
[[he:שומר]]
Mstari 47: Mstari 51:
[[it:Sumeri]]
[[it:Sumeri]]
[[ja:シュメール]]
[[ja:シュメール]]
[[ka:შუმერი]] {{Link FA|ka}}
[[ka:შუმერი]]
[[ko:수메르]]
[[ko:수메르]]
[[ku:Sumer]]
[[ku:Sumer]]
Mstari 63: Mstari 67:
[[oc:Sumèr]]
[[oc:Sumèr]]
[[pl:Sumer]]
[[pl:Sumer]]
[[pt:Suméria]] {{Link FA|pt}}
[[pt:Suméria]]
[[ro:Sumer]]
[[ro:Sumer]]
[[ru:Шумер]]
[[ru:Шумер]]

Pitio la 12:32, 10 Agosti 2008

Hati ya Kisumeri yaonyesha mapatano ya kuuza nyumba na shamba

Sumeri ilikuwa kati ya tamaduni za kwanza za juu katika Asia ya Magharibi na hasa Mesopotamia (Iraq ya leo). Labda ilikuwa utamaduni wa kwanza wa kujenga miji.

Sumeri ilianzishwa na kuendelea kwenye nchi yenye rutba kati ya mito Frati na Hidekeli tangu mwaka 3,500 KK. Elimu ya akiolojia iliweza kuthebitisha ya kwamba Wasumeri walijenga miji na kuendeleza maandishi. Maandishi yao yamehifadhiwa kwa sababu waliandika mengi kwa kuchora maneno kwenye vipande vya udongo wa ufinyanzi na kuvichoma. Imetambuliwa pia ya kwamba waliweka misingi muhimu kwa kalenda za leo kwa kugawa siku katika masaa 24 na saa katika dakika 60.

Wasumeri waliishi katika dola-miji iliyotawaliwa na wafalme au makuhani.



Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA