Yohane IV : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: es:Yohannes IV de Etiopía
Mstari 15: Mstari 15:
[[id:Yohanes IV dari Ethiopia]]
[[id:Yohanes IV dari Ethiopia]]
[[it:Giovanni IV d'Etiopia]]
[[it:Giovanni IV d'Etiopia]]
[[mr:योहानेस चौथा, इथियोपिया]]
[[pl:Jan IV Kassa]]
[[pl:Jan IV Kassa]]
[[sk:Johannes IV.]]
[[sk:Johannes IV.]]

Pitio la 10:09, 7 Agosti 2008

Yohane IV

Yohannes IV (* 1831 kwa jina la Dejazmach Kassay; † 10 Machi 1889 Metemma, Sudan) alikuwa Ras wa Tigray na Kaisari wa Ethiopia kati ya 18721889. Alimfuata Tewodros II akifaulu kutawala juu ya majimbo yote ya Ethiopia.

1876 aliweza kuzuia mashambulio ya Misri dhidi ya Ethiopia.
Aliuawa katika mapigano ya Metemna dhidi ya jeshi la Al-Mahdi tar. 10 Machi 1889. Kichwa chake kilikatwa na kuonyeshwa baadaye Omdurman.