Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
OKBot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: hu:Auguste Marie François Beernaert |
d roboti Badiliko: nl:Auguste Beernaert |
||
Mstari 26: | Mstari 26: | ||
[[ja:オーギュスト・ベールナールト]] |
[[ja:オーギュスト・ベールナールト]] |
||
[[ku:Auguste Beernaert]] |
[[ku:Auguste Beernaert]] |
||
[[nl: |
[[nl:Auguste Beernaert]] |
||
[[no:Auguste Beernaert]] |
[[no:Auguste Beernaert]] |
||
[[pl:Auguste Beernaert]] |
[[pl:Auguste Beernaert]] |
Pitio la 19:58, 6 Agosti 2008
Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 1829 – 6 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |