Chai : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboto: mk:Чај estas artikolo elstara
d roboti Nyongeza: mr:चहा
Mstari 27: Mstari 27:


<!-- links to other wikipedias-->
<!-- links to other wikipedias-->

{{Link FA|hu}}
{{Link FA|lt}}
{{Link FA|mk}}


[[am:ሻይ]]
[[am:ሻይ]]
Mstari 61: Mstari 65:
[[hi:चाय]]
[[hi:चाय]]
[[hr:Čaj]]
[[hr:Čaj]]
[[hu:Tea]] {{Link FA|hu}}
[[hu:Tea]]
[[id:Teh]]
[[id:Teh]]
[[io:Teo]]
[[io:Teo]]
Mstari 72: Mstari 76:
[[ksh:Tee (För ze Drinke)]]
[[ksh:Tee (För ze Drinke)]]
[[la:Thea]]
[[la:Thea]]
[[lt:Arbata]] {{Link FA|lt}}
[[lt:Arbata]]
[[lv:Tēja]]
[[lv:Tēja]]
[[mk:Чај]] {{Link FA|mk}}
[[mk:Чај]]
[[mr:चहा]]
[[ms:Teh]]
[[ms:Teh]]
[[nds:Tee]]
[[nds:Tee]]

Pitio la 19:16, 4 Agosti 2008

Chai ya maziwa.
Mavuno ya chai duniani 2003 nchi kwa nchi

Chai ni kinywaji kinachotengenezwa kwa kulowesha majani ya chai (Camellia sinensis) katika maji ya moto. Wakati mwingine hata vinywaji vinavyopatikana kwa kutumia majani ya mimea mingine vinaitwa "chai".

Kwa kawaida chai hunywewa ikiwa moto. Katika Afrika ya Mashariki huungwa maziwa ndani yake pamoja na sukari na viungo vingine. Aina hii ya chai imeenea kutoka Uhindi. Pasipo na maziwa huitwa "chai ya rangi".

Nchi nyingi zina utamaduni wa pekee jinsi ya kutengeneza chai. Wengine hunywa chai bila kitu kingine, wengi hupenda kuongeza sukari tu.

Aina za chai

Majani ya Camellia sinensis huandaliwa kwa njia mbili : kama chai nyeusi na chai ya kijani.

Chai nyeusi hupatikana kwa kukausha majani yake kwanza. Baadye zinavunjwa na kuachwa ziumuke. Hapa kunatokea mmenyuko wa kikemia unaobadilisha rangi na ladha ya majani. Majani hushika joto kutokana na mmenyuko na joto hili halitakiwi kuzidi sentigredi 29. Chai nyeusi hutokea hasa Uhindi, Sri Lanka na Afrika pamoja na Kenya.

Chai ya kijani hutengenezwa kwa kukausha majani mabichi mara moja bila kuyapanafasi ya kuumuka. Chai hii utokea hasa China na Japani.

Chai kama chakula

Neno "chai" hutumiwa pia kwa mlo mdogo. "Karibu chai" humaanisha mara nyingi kumwalika mgeni ale kitafunio hata pasipo na kinywaji chenyewe.

Chai kama hongo

Katika Afrika ya mashariki neno "chai" limetumiwa mara nyingi kudai mahongo. Asili yake ilikuwa ombi: "Naomba pesa kidogo ili nipate kununua chai". Hii imeshafupishwa mara nyingi kwa matanmko mbalimbali kama "naomba chai", "toa chai" n.k. Kwa kawaida mwomba chai atashangaa akipewa kile anachosema kwa sababu anategemea pesa.


Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA