Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: it:Terza lettera di Giovanni
d roboti Nyongeza: tl:Ikatlong Sulat ni Juan
Mstari 38: Mstari 38:
[[sm:O le tusi e tolu a Ioane]]
[[sm:O le tusi e tolu a Ioane]]
[[sv:Tredje Johannesbrevet]]
[[sv:Tredje Johannesbrevet]]
[[tl:Ikatlong Sulat ni Juan]]
[[zh:約翰叁書]]
[[zh:約翰叁書]]

Pitio la 12:49, 31 Julai 2008

Agano Jipya


Barua ya tatu ya Yohane ni kitabu kimojawapo cha Agano Jipya katika Biblia ya Ukristo.

Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.

Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.

Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.

Kiungo cha nje

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili