Thomas Aquinas Mtakatifu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboto: fr:Thomas d'Aquin estas artikolo elstara |
d roboto: sv:Thomas av Aquino estas artikolo elstara |
||
Mstari 71: | Mstari 71: | ||
[[sq:Tomas Akuini]] |
[[sq:Tomas Akuini]] |
||
[[sr:Тома Аквински]] |
[[sr:Тома Аквински]] |
||
[[sv:Thomas av Aquino]] |
[[sv:Thomas av Aquino]] {{Link FA|sv}} |
||
[[th:โทมัส อควีนาส]] |
[[th:โทมัส อควีนาส]] |
||
[[tl:Tomas de Aquino]] |
[[tl:Tomas de Aquino]] |
Pitio la 23:05, 17 Julai 2008
Thomas Aquinas Mtakatifu (takriban 1224 – 7 Machi, 1274) alikuwa mwanateolojia kutoka nchi ya Italia. Alikuwa mtawa ndani ya Shirika la Wadominikani. Alichunguza hasa mawazo ya mwanafalsafa Mgiriki Aristoteli. Pia anajulikana sana kwa vitabu vyake “Jumla ya Teolojia” (kwa Kilatini Summa theologiae) na “Jumla dhidi ya Wapagani” (kwa Kilatini Summa contra gentiles). Alitangazwa kuwa mtakatifu 18 Julai 1323. Sikukuu yake ni 28 Januari.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |