Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
viungo |
viungo |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
{{Agano Jipya}} |
{{Agano Jipya}} |
||
'''Barua ya tatu ya Yohane''' ni kitabu kimojawapo cha [[Agano Jipya]] katika [[Biblia]] ya [[Ukristo]]. |
|||
Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la [[Mtume Yohane]] kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake. |
Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la [[Mtume Yohane]] kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake. |
Pitio la 21:27, 16 Julai 2008
Barua ya tatu ya Yohane ni kitabu kimojawapo cha Agano Jipya katika Biblia ya Ukristo.
Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.
Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.
Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.
Kiungo cha nje
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili