Kislavoni cha Mashariki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: id:Bahasa Slavik Timur
d roboti Nyongeza: bs:Istočnoslavenski jezici
Mstari 13: Mstari 13:
[[ast:Eslavu Oriental]]
[[ast:Eslavu Oriental]]
[[bg:Източнославянски езици]]
[[bg:Източнославянски езици]]
[[bs:Istočnoslavenski jezici]]
[[cs:Východoslovanské jazyky]]
[[cs:Východoslovanské jazyky]]
[[csb:Pòrénkòwòsłowiańsczé jãzëczi]]
[[csb:Pòrénkòwòsłowiańsczé jãzëczi]]

Pitio la 14:37, 23 Juni 2008

Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Magharibi ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Mashariki ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Kusini ni lugha rasmi

Kislavoni cha Mashariki ni kundi la lugha za Kislavoni zinazozungumzwa katika Ulaya ya Mashariki. Ni lugha tatu za Kirusi, Kiukraine na Kibelarus. Idadi ya wasemaji wa lugha hizi ni kubwa kushinda idadi ya wasemaji wa lugha za Kislavoni cha Kusini au cha Magharibi.

Lugha zote tatu zilitokana katika lugha ya pamoja inayoaminiwa ilitumiwa katika Ulaya ya Mashariki mnamo mwaka 1000 / 1200 BK. Ziliachana baadaye na kukuza tabia za pekee.

Lugha zote tatu hutumia mwandiko wa Kikyrili.