Ghuba ya Bengali : Tofauti kati ya masahihisho
OKBot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: th:อ่าวเบงกอล |
d roboti Nyongeza: cy:Bae Bengal, km:ឈូងសមុទ្របេងហ្គាល់ |
||
Mstari 26: | Mstari 26: | ||
[[ca:Golf de Bengala]] |
[[ca:Golf de Bengala]] |
||
[[cs:Bengálský záliv]] |
[[cs:Bengálský záliv]] |
||
[[cy:Bae Bengal]] |
|||
[[da:Bengalske Bugt]] |
[[da:Bengalske Bugt]] |
||
[[de:Golf von Bengalen]] |
[[de:Golf von Bengalen]] |
||
Mstari 43: | Mstari 44: | ||
[[it:Golfo del Bengala]] |
[[it:Golfo del Bengala]] |
||
[[ja:ベンガル湾]] |
[[ja:ベンガル湾]] |
||
[[km:ឈូងសមុទ្របេងហ្គាល់]] |
|||
[[ko:벵골 만]] |
[[ko:벵골 만]] |
||
[[lt:Bengalijos įlanka]] |
[[lt:Bengalijos įlanka]] |
Pitio la 17:24, 22 Juni 2008
Ghuba ya Bengali ni hori kubwa ya Bahari Hindi kati ya Bara Hindi, Rasi ya Malay na Sri Lanka yenye umbo la pembetatu. Jina la Bengal limetokana na jimbo la Bengali ya Magharibi katika Uhindi na nchi ya Bangladesh. Bahari ya Andamani inahesabiwa wakati mwingine kuwa sehemu ya ghuba ya Bengal lakini mara nyingi hutazamiwa kama gimba la maji la pekee.
Nchi jirani
Nchi zinazopakana na ghuba ni Sri Lanka, Uhindi, Bangladesh na Myanmar. Kama Bahari ya Andamani inahesabiwa kuwa sehemu ya ghuba hata nchi za Uthai na Indonesia zinapaswa kutajwa hapa.
Mito inayoishia humo
Mito mikubwa ya Bara Hindi inayoishia katika Ghuba ya Bengali ni: mto Ganga, mto Meghna, mto Brahmaputra, mto Godavari, mto Krishna na mto Kaveri.
Mto Ayeyarwady wa Myanmar unaishia pia katika ghuba hii.
Mabandari
Mabandari muhimu kwenye ghuba ni:
- katika Bangladesh: Chittagong na Mongla
- katika Uhindi: Chennai (zamani Madras), Vishakhapatnam, Kolkata (zamani Calcutta) na Pondicherry