Ernst Ruska : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: nl:Ernst Ruska
Mstari 26: Mstari 26:
[[ja:エルンスト・ルスカ]]
[[ja:エルンスト・ルスカ]]
[[ku:Ernst Ruska]]
[[ku:Ernst Ruska]]
[[nl:Ernst Ruska]]
[[oc:Ernst Ruska]]
[[oc:Ernst Ruska]]
[[pl:Ernst Ruska]]
[[pl:Ernst Ruska]]

Pitio la 08:20, 7 Juni 2008

Ernst August Friedrich Ruska (25 Desemba, 190627 Mei, 1988) alikuwa fundisanifu wa umeme kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa anajulikana kwa kubuni hadubini ya elektroni. Mwaka wa 1986, pamoja na Gerd Binnig na Heinrich Rohrer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.