Kaizari Macrinus : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: mr:मॅक्रिनस
d roboti Nyongeza: tl:Macrinus
Mstari 40: Mstari 40:
[[sr:Макрин]]
[[sr:Макрин]]
[[sv:Macrinus]]
[[sv:Macrinus]]
[[tl:Macrinus]]
[[tr:Macrinus]]
[[tr:Macrinus]]
[[zh:马克里努斯]]
[[zh:马克里努斯]]

Pitio la 11:24, 5 Juni 2008

Shaba inayoonyesha Kaizari Macrinus

Marcus Opellius Macrinus (takriban 165 – Juni 218) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 11 Aprili, 217 hadi tarehe 8 Juni, 218. Alimfuata Caracalla. Kabla Macrinus hajafa, mpwa wa Caracalla, Elagabalus alitangazwa kuwa Kaizari tarehe 18 Mei. Alimshinda Macrinus katika pigano la vita tarehe 8 Juni, na Macrinus aliuawa kisheria baadaye kidogo.