Ernst Boris Chain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ar:إرنست تشين |
d roboti Nyongeza: fi:Ernst Boris Chain |
||
Mstari 18: | Mstari 18: | ||
[[en:Ernst Boris Chain]] |
[[en:Ernst Boris Chain]] |
||
[[es:Ernst Boris Chain]] |
[[es:Ernst Boris Chain]] |
||
[[fi:Ernst Boris Chain]] |
|||
[[fr:Ernst Boris Chain]] |
[[fr:Ernst Boris Chain]] |
||
[[he:ארנסט בוריס חיין]] |
[[he:ארנסט בוריס חיין]] |
Pitio la 02:12, 30 Mei 2008
Ernst Boris Chain (19 Juni, 1906 – 12 Agosti, 1979) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ujerumani. Kwa vile alikuwa Myahudi alihamia nchi wa Uingereza wakati wa Adolf Hitler kupokea utawala wa Ujerumani. Chain hasa alichunguza viua vijasumu. Mwaka wa 1945, pamoja na Alexander Fleming na Howard Walter Florey alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba. Mwaka wa 1969 alipewa cheo cha "Sir".
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |