Afrika ya Magharibi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: de:Westafrika |
d robot Adding: it:Africa Occidentale |
||
Mstari 75: | Mstari 75: | ||
[[id:Afrika Barat]] |
[[id:Afrika Barat]] |
||
[[is:Vestur-Afríka]] |
[[is:Vestur-Afríka]] |
||
[[it:Africa Occidentale]] |
|||
[[ja:西アフリカ]] |
[[ja:西アフリカ]] |
||
[[ko:서아프리카]] |
[[ko:서아프리카]] |
Pitio la 07:58, 5 Agosti 2006
Afrika ya Magharibi ni kanda la magharibi kwenye bara la Afrika.
Kwa kawaida huhesabiwa humo nchi zilizo kati ya jangwa la Sahara na Atlantiki. Upande wa mashariki kanda linakwisha kwenye mstari kati ya mlima Kamerun na ziwa Chad.
Katika lugha ya Kiarabu nchi za Afrika ya kaskazini-magharibi zinaitwa "Maghrib" yaani "Magharibi" lakini ni sehemu ya kanda la Afrika ya Kaskazini.
Kanda la Afrika ya Kakazini ya UM lina nchi 16 zifuatazo pamoja na visiwa vya Kiingereza vya Saint Helena: