Togo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d robot Adding: el:Τόγκο, la:Togum, vi:Togo
Mstari 86: Mstari 86:
[[da:Togo]]
[[da:Togo]]
[[de:Togo]]
[[de:Togo]]
[[el:Τόγκο]]
[[en:Togo]]
[[en:Togo]]
[[eo:Togolando]]
[[eo:Togolando]]
Mstari 107: Mstari 108:
[[ks:टोगो]]
[[ks:टोगो]]
[[kw:Togo]]
[[kw:Togo]]
[[la:Togum]]
[[lt:Togas]]
[[lt:Togas]]
[[lv:Togo]]
[[lv:Togo]]
Mstari 133: Mstari 135:
[[ug:توگو]]
[[ug:توگو]]
[[uk:Того]]
[[uk:Того]]
[[vi:Togo]]
[[zh:多哥]]
[[zh:多哥]]
[[zh-min-nan:Togo]]
[[zh-min-nan:Togo]]

Pitio la 13:34, 4 Agosti 2006

Togo
Karte Togos
Karte Togos

Togo ni nchi katika Afrika ya Magharibi kwenye mwambao wa Ghuba la Guinea ya Atlantiki ikipakana na Benin upande wa mashariki, Burkina Faso kwa kaskazini na Ghana kwa mashariki. Idadi ya wakazi ilikuwa takriban milioni 5,4 mwaka 2005. Mji mkuu ni Lome.

Togo ni nchi ndogo katika Afrika yenye 56 785 km² pekee kwa umbo la pembenne yenye urefu wa 550 km na upana wa takriban 130 km. Mwelekeo wa eneo la nchi ni kaskazini - kusini kuna kanda zote za kijiografia ya Afrika ya Magharibi kuanzia pwani lenye machanga na misitu ya minazi kwenye kusini, vilima vya nyanda za juu katikati na savana pamoja na maeneo yabisi zaidi ya Sahel kaskazini.


Historia

Nchi ilianzishwa kama koloni ya Togo ya Kijerumani katika pengo kati ya maeneo ya Uingereza na Ufaransa.

Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia koloni ya Kijerumani iligawiwa kati ya majirani chini ya mamlaka ya Shirikisho la Mataifa na baadaye ya Umoja wa Mataifa.

Katika Disemba ya 1956 wakazi wa Togo ya Kiingereza waliamua kwa kura kubaki na Ghana. Hivyo ni Togo ya Kifaransa pekee iliyopata uhuru mwaka 1960.

Rais wa kwanza alikuwa Sylvanus Olympio. (ya kuendelea)



Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira