Arno Penzias : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 36: Mstari 36:
[[sv:Arno Penzias]]
[[sv:Arno Penzias]]
[[tr:Arno Allan Penzias]]
[[tr:Arno Allan Penzias]]
[[uk:Пензіас Аріо Аллан]]
[[zh:阿诺·彭齐亚斯]]
[[zh:阿诺·彭齐亚斯]]

Pitio la 18:15, 19 Mei 2008

Arno Allan Penzias (amezaliwa 26 Aprili, 1933) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa nchini Ujerumani. Hasa alichunguza mnururisho wa nyota. Mwaka wa 1978, pamoja na Robert Woodrow Wilson na Pyotr Kapitsa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.