Kiolwa cha angani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d roboti Nyongeza: ms:Objek astronomi |
||
Mstari 21: | Mstari 21: | ||
[[Category:Falaki]] |
[[Category:Falaki]] |
||
[[Category:Gimba la angani|*]] |
[[Category:Gimba la angani|*]] |
||
[[als:Himmelskörper]] |
[[als:Himmelskörper]] |
||
Mstari 50: | Mstari 49: | ||
[[lb:Himmelskierper]] |
[[lb:Himmelskierper]] |
||
[[lv:Astronomisks objekts]] |
[[lv:Astronomisks objekts]] |
||
[[ms:Objek astronomi]] |
|||
[[nl:Hemellichaam]] |
[[nl:Hemellichaam]] |
||
[[no:Himmellegeme]] |
[[no:Himmellegeme]] |
Pitio la 01:40, 13 Mei 2008
Gimba la angani ni jina kwa ajili ya magimba yanayopatikana katika anga ya ulimwengu.
Kati ya vitu hivi huhesabiwa:
- Jua
- Sayari
- Miezi
- Vimondo (pia meteori au meteoridi)
- Asteroidi
- Nyotamkia
- Nyota
- Galaksi
- Nebula
- Mawingu
Haya yote ni magimba asilia. Vitu angani vilivyotengenezwa na binadamu ni vyombo vya angani ingawa kuna swali kama mabaki kutokana na vyombyo vya angani vilivyovunjika au takataka kutokana safari za angani yanastahili kuitwa kwa neno hili.
Elimu ya magimba ya angani ni falaki.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |