Cordell Hull : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d robot Adding: ca:Cordell Hull |
||
Mstari 8: | Mstari 8: | ||
{{mbegu}} |
{{mbegu}} |
||
[[ca:Cordell Hull]] |
|||
[[de:Cordell Hull]] |
[[de:Cordell Hull]] |
||
[[en:Cordell Hull]] |
[[en:Cordell Hull]] |
Pitio la 02:01, 29 Julai 2006
Cordell Hull (2 Oktoba 1871 – 23 Julai 1955) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Kuanzia 1933 hadi 1944 alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Mwaka wa 1945 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani kwa ajili ya kazi yake ya kuanzisha Umoja wa Mataifa.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |