Antili Ndogo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fy:Lytse Antillen
Mstari 55: Mstari 55:
[[fi:Pienet Antillit]]
[[fi:Pienet Antillit]]
[[fr:Petites Antilles]]
[[fr:Petites Antilles]]
[[fy:Lytse Antillen]]
[[gl:Antillas Menores]]
[[gl:Antillas Menores]]
[[he:האנטילים הקטנים]]
[[he:האנטילים הקטנים]]

Pitio la 22:11, 2 Mei 2008

Antili Ndogo ni sehemu ya kusini ya pinde la visiwa vya Karibi

Antili Ndogo ni kikundi cha visiwa vidogo katika Atlantiki mbele ya pwani la Amerika ya Kati. Ni sehemu ya kusini Visiwa vya Karibi. Antili ndogo ina umbo la pinde kati ya pwani la Venezuela na kisiwa kikubwa cha Puerto Rico.

Jiolojia

Pinde hufuata mstari wa mpaka wa bamba la Karibi. Visiwa vyote ni ya asili ya kivolkeno. Volkeno hai na mitetemeko ya ardhi ni kawaida.

Orodha ya visiwa

Visiwa karibu na pwani la Venezuela: