Bahari ya Adria : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: be:Адрыятычнае мора |
d roboti Nyongeza: fy:Adriatyske See |
||
Mstari 35: | Mstari 35: | ||
[[frp:Mar Adriatica]] |
[[frp:Mar Adriatica]] |
||
[[fur:Mâr Adriatic]] |
[[fur:Mâr Adriatic]] |
||
[[fy:Adriatyske See]] |
|||
[[gl:Mar Adriático]] |
[[gl:Mar Adriático]] |
||
[[he:הים האדריאטי]] |
[[he:הים האדריאטי]] |
Pitio la 03:00, 27 Aprili 2008
Bahari ya Adria au kwa kifupi "Adria" ni ghuba ya Mediteranea kati ya Rasi ya Italia na Rasi ya Balkani. i
Nchi zinazopakana nayo ni Italia, Slovenia, Kroatia, Bosnia na Herzegovina, Montenegro na Albania.
Adria huelekea kaskazini magharibi kutoka 40°N hadi 45° 45' N.. Urefu wake ni km 770 km na upana waka kwa wastani ni km 160. Sehemu nyembamba ni mlango wa Ortranto mwenye upana wa km 85. Eeno lake ni mnamo km² 160,000.
Mwambao wa kaskazini una visiwa vingi hasa mbele ya pwani la Kroatia.