David Ben Gurion : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d roboti Nyongeza: simple:David Ben-Gurion
Mstari 31: Mstari 31:
[[el:Νταβίντ Μπεν Γκουριόν]]
[[el:Νταβίντ Μπεν Γκουριόν]]
[[en:David Ben-Gurion]]
[[en:David Ben-Gurion]]
[[es:David Ben-Gurión]]
[[eo:David Ben-Gurion]]
[[eo:David Ben-Gurion]]
[[es:David Ben-Gurión]]
[[eu:David Ben-Gurion]]
[[eu:David Ben-Gurion]]
[[fa:داوید بن گوریون]]
[[fa:داوید بن گوریون]]
[[fi:David Ben-Gurion]]
[[fr:David Ben Gourion]]
[[fr:David Ben Gourion]]
[[fy:David Ben-Gurion]]
[[fy:David Ben-Gurion]]
[[gl:David Ben-Gurion]]
[[gl:David Ben-Gurion]]
[[he:דוד בן-גוריון]]
[[ko:데이비드 벤구리온]]
[[hr:David Ben-Gurion]]
[[hr:David Ben-Gurion]]
[[id:David Ben-Gurion]]
[[id:David Ben-Gurion]]
[[is:David Ben-Gurion]]
[[is:David Ben-Gurion]]
[[it:David Ben-Gurion]]
[[it:David Ben-Gurion]]
[[ja:ダヴィド・ベン=グリオン]]
[[he:דוד בן-גוריון]]
[[ka:დავიდ ბენ-გურიონი]]
[[ka:დავიდ ბენ-გურიონი]]
[[ko:데이비드 벤구리온]]
[[la:David Ben-Gurion]]
[[la:David Ben-Gurion]]
[[lt:Davidas Ben Gurionas]]
[[lt:Davidas Ben Gurionas]]
Mstari 50: Mstari 52:
[[ms:David Ben-Gurion]]
[[ms:David Ben-Gurion]]
[[nl:David Ben-Gurion]]
[[nl:David Ben-Gurion]]
[[ja:ダヴィド・ベン=グリオン]]
[[no:David Ben-Gurion]]
[[no:David Ben-Gurion]]
[[pl:Dawid Ben Gurion]]
[[pl:Dawid Ben Gurion]]
Mstari 56: Mstari 57:
[[ro:David Ben Gurion]]
[[ro:David Ben Gurion]]
[[ru:Бен-Гурион, Давид]]
[[ru:Бен-Гурион, Давид]]
[[simple:David Ben-Gurion]]
[[sr:Давид Бен-Гурион]]
[[sr:Давид Бен-Гурион]]
[[fi:David Ben-Gurion]]
[[sv:David Ben-Gurion]]
[[sv:David Ben-Gurion]]
[[tg:Давид Бен-Гурион]]
[[tg:Давид Бен-Гурион]]

Pitio la 05:33, 25 Aprili 2008

Ben Gurion alivyohotubia bunge la Israeli mwaka 1957

David Ben Gurion (Kiebrania ‏דוד בן גוריון‎; * 16 Oktoba 1886; † 1 Desemba 1973) alikuwa waziri mkuu wa kwanza wa dola la Israeli.

Alizaliwa kwa jina la David Grün kwenye sehemu ya Poland iliyokuwa chini ya Milki ya Urusi katika familia ya Wayahudi waliojiunga na harakati ya Usioni. Mwenyewe alikuwa mfuasi wa Usioni na Usoshalisti.

Mwaka 1906 alihamia Palestina (wakati ule chini ya milki ya Osmani) baada ya kusikitika ubaguzi dhidi ya Wayahudi katika Milki ya Urusi. Alikuwa mfanyakazi wa kilimo mwanzoni akaendelea kuwa mwandishi wa habari na kujenga shirika ya walinzi kwa vijiji vilivyoundwa na Wayahudi waliohamia Palestian wakati ule. 1912 alikwenda Istanbul akachukua digri ya sheria kwenye chuo kikuu. Wakati ule alianza kutumia jina la Kiebrania "Ben Gurion" (maana yake mwanasimba).

Aliendelea kuwa kiongozi wa harakati ya kisoshalisti ya Wayahudi wasoshalisti alijenga chama cha wafanyakazi Wayahudi cha Histradut na pia kundi la wanamigambo wa Hagana lililoendelea baadaye kuwa kiini cha jeshi la Israeli.

Alikuwa kiongozi wa kisiasa na kijeshi wa Israeli katika vita ya kuanzisha nchi hii mwaka 1948/49 akatangaza uhuru wa Israel na kuwa kiongozi wa serikali ya kwanza.

Aliendelea kama waziri mkuu hadi 1963 alipojiuzulu lakini alishiriki katika siasa hadi 1970.

1973 aliaga dunia kwenye kibbuz Tel Hashomer.

Alihesabiwa kati ya watu muhimu 100 wa karne ya 20. Kiwanja cha ndege cha Tel Aviv imepewa jina lake kwa heshima.

Kigezo:Link FA