Julius Wagner-Jauregg : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: ca, cs, de, es, fr, hr, id, it, ja, nl, pl, pt, ru, sk, sv, zh
Mstari 11: Mstari 11:
{{mbegu}}
{{mbegu}}


[[ar:يوليوس فاغنر فون يورغ]]
[[ca:Julius Wagner-Jauregg]]
[[ca:Julius Wagner-Jauregg]]
[[cs:Julius Wagner-Jauregg]]
[[cs:Julius Wagner-Jauregg]]

Pitio la 14:35, 10 Aprili 2008

Julius Wagner-Jauregg (7 Machi, 185727 Septemba, 1940) alikuwa daktari kutoka nchi ya Austria. Hasa alichunguza na kutibu magonjwa ya kiakili kwa kutumia tiba ya kushtua ya kuingiza homa mwilini. Mwaka wa 1927 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.