Jacques Monod : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 17: Mstari 17:
[[es:Jacques L. Monod]]
[[es:Jacques L. Monod]]
[[fi:Jacques Monod]]
[[fi:Jacques Monod]]
[[fr:Jacques Monod]]
[[fr:Jacques Monod (biologiste)]]
[[he:ז'אק מונו]]
[[he:ז'אק מונו]]
[[hr:Jacques Monod]]
[[hr:Jacques Monod]]

Pitio la 10:11, 10 Aprili 2008

Jacques Lucien Monod (9 Februari, 191031 Mei, 1976) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza usanisi wa vimeng'enya ndani ya chembe hai. Mwaka wa 1965, pamoja na Francois Jacob na Andre Lwoff alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.