Wilaya ya Nkhotakota : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 14: | Mstari 14: | ||
{{Marejeo}} |
{{Marejeo}} |
||
[[Jamii:Wilaya za Malawi|Nkh]] |
[[Jamii:Wilaya za Malawi|Nkh]] |
||
[[Jamii:Wilaya ya Nkhotakota]] |
Pitio la 09:26, 19 Februari 2022
Wilaya ya Nkhotakota ni wilaya mojawapo katika Kanda ya Kati nchini Malawi. Makao makuu yako Nkhotakota. Wilaya ina eneo la km² 4,259 na ina wakazi 395,897. [1] Neno Nkhotakota linamaanisha "kona-kona" katika lugha ya Chichewa. Iko kando ya Ziwa Nyasa inayoitwa hapa Ziwa Malawi.
Vitengo na utawala
Kuna majimbo matano ya Bunge la Kitaifa huko Nkhotakota: [2]
- Nkhotakota - Kati
- Nkhotakota - Kaskazini
- Nkhotakota - Kaskazini Mashariki
- Nkhotakota - Kusini
- Nkhotakota - Kusini Mashariki
Marejeo
- ↑ "2018 Population and Housing Census Main Report". Malawi National Statistical Office. Iliwekwa mnamo 25 December 2019. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ Parliament of Malawi - Members of Parliament - Nkhotakota District