Hans Bethe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fa:هانس بته |
d roboti Nyongeza: gl:Hans Bethe |
||
Mstari 25: | Mstari 25: | ||
[[fi:Hans Bethe]] |
[[fi:Hans Bethe]] |
||
[[fr:Hans Bethe]] |
[[fr:Hans Bethe]] |
||
[[gl:Hans Bethe]] |
|||
[[he:האנס בתה]] |
[[he:האנס בתה]] |
||
[[hi:हांस अल्ब्रेक्त बेटू]] |
[[hi:हांस अल्ब्रेक्त बेटू]] |
Pitio la 18:51, 25 Machi 2008
Hans Albrecht Bethe (2 Julai, 1906 – 6 Machi, 2005) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa katika mji wa Strasbourg. Mwaka wa 1933 alihamia Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |