Msichana : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mabadiliko madogo
Tags: KihaririOneshi Mobile edit Mobile web edit Newcomer task
No edit summary
 
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Bozo girl.jpg|thumb|350px|right|Msichana [[Afrika|Mwafrika]] wa [[Mali]].]]
[[Picha:Bozo girl.jpg|thumb|350px|right|Msichana [[Afrika|Mwafrika]] wa [[Mali]].]]

'''Msichana''' ni [[mwanamke]] ambaye hajafikia [[ukomavu]] wa [[utu uzima]], ni [[kijana]] wa [[jinsia]] ya kike, ijapokuwa si tena [[mtoto]] tu wa [[binadamu]].
'''Msichana''' ni [[mwanamke]] ambaye hajafikia [[ukomavu]] wa [[utu uzima]], ni [[kijana]] wa [[jinsia]] ya kike, ijapokuwa si tena [[mtoto]] tu wa [[binadamu]].


Mstari 7: Mstari 6:
Wasichana wadogo bado wana [[miili]] ya kitoto. Haikomai hadi watakapofikia [[umri]] wa [[balehe]] (huenda wakafikia umri wa miaka 11-13 n.k.) ambapo miili yao inaanza kukomaa na kuwafanya [[wanawake]] kamili.
Wasichana wadogo bado wana [[miili]] ya kitoto. Haikomai hadi watakapofikia [[umri]] wa [[balehe]] (huenda wakafikia umri wa miaka 11-13 n.k.) ambapo miili yao inaanza kukomaa na kuwafanya [[wanawake]] kamili.


Wakati wa kubalehe, [[msichana]] anaanza kuwa na ma[[ziwa]], ma[[umbo]] yao sehemu za [[kiuno]]ni na ma[[bega]]ni zinakuwa kubwa, [[sauti]] na [[sura]] huwa nzuri inayovutia na wanaanza kuwa na [[hedhi]].
Wakati wa kubalehe, msichana anaanza kuwa na [[Titi|maziwa]], ma[[umbo]] yake sehemu za [[kiuno]]ni na ma[[bega]]ni yanakuwa kubwa, [[sauti]] na [[sura]] huwa nzuri inayovutia na anaanza kuwa na [[hedhi]].


== Tazama pia ==
== Tazama pia ==
Mstari 18: Mstari 17:
* http://www.girlsnames.co.uk/ {{Wayback|url=http://www.girlsnames.co.uk/ |date=20111015103643 }}
* http://www.girlsnames.co.uk/ {{Wayback|url=http://www.girlsnames.co.uk/ |date=20111015103643 }}
* http://www.names4muslims.com/baby-girls.php
* http://www.names4muslims.com/baby-girls.php
{{mbegu-biolojia}}

{{mbegu}}

[[Jamii:Binadamu]]
[[Jamii:Binadamu]]
[[Jamii:Jinsia]]
[[Jamii:Jinsia]]

Toleo la sasa la 06:06, 29 Novemba 2021

Msichana Mwafrika wa Mali.

Msichana ni mwanamke ambaye hajafikia ukomavu wa utu uzima, ni kijana wa jinsia ya kike, ijapokuwa si tena mtoto tu wa binadamu.

Wakati mwingine watu wakubwa bado hutaja kama 'wasichana' wanawake waliokua, hasa katika hali ya kutoka nao usiku katika starehe fulani.

Wasichana wadogo bado wana miili ya kitoto. Haikomai hadi watakapofikia umri wa balehe (huenda wakafikia umri wa miaka 11-13 n.k.) ambapo miili yao inaanza kukomaa na kuwafanya wanawake kamili.

Wakati wa kubalehe, msichana anaanza kuwa na maziwa, maumbo yake sehemu za kiunoni na mabegani yanakuwa kubwa, sauti na sura huwa nzuri inayovutia na anaanza kuwa na hedhi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Msichana kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.