Utawala : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
No edit summary |
||
Mstari 5: | Mstari 5: | ||
Kwa mfano, utawala unaweza kuwa wa kisiasa juu ya nchi au [[kabila]] katika [[jamii]] husika. |
Kwa mfano, utawala unaweza kuwa wa kisiasa juu ya nchi au [[kabila]] katika [[jamii]] husika. |
||
==Katika |
==Katika Biblia== |
||
⚫ | [[Biblia]] inaelezea ni kusudi la [[Mungu]] kumuumba [[mwanadamu]] ili akatawale viumbe vyake vingine. [[Kitabu cha Mwanzo]] 1:27-28 Kinasema: "Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi" |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
UTAWALA katika Biblia unaelezea ndiyo kusudi la Mungu kumuumba mwanadamu ni ili akatawale uumbaji wake katika kitabu cha |
|||
Mwanzo 1:27-28 Biblia inasema |
|||
"Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. |
|||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
[[Jamii:Elimu jamii]] |
[[Jamii:Elimu jamii]] |
||
[[Jamii:Sheria]] |
[[Jamii:Sheria]] |
Pitio la 06:21, 20 Juni 2021
Utawala (kutoka neno la Kiarabu) ni mamlaka na haki ya kuongoza. Ni jambo lisiloepukika katika maisha ya pamoja ya binadamu.
Utawala umejitokeza kwa namna nyingi katika ngazi mbalimbali katika historia ya dunia.
Kwa mfano, utawala unaweza kuwa wa kisiasa juu ya nchi au kabila katika jamii husika.
Katika Biblia
Biblia inaelezea ni kusudi la Mungu kumuumba mwanadamu ili akatawale viumbe vyake vingine. Kitabu cha Mwanzo 1:27-28 Kinasema: "Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi"
Hivyo mwanadamu aliumbwa ili ashike utawala juu ya vile Mungu alivyoviumba.
Lakini utawala ni hasa sifa ya Mungu katika maongozi yake juu ya ulimwengu aliouumba.
Ni hasa Yohane Mbatizaji na Yesu waliotangaza ujio wa utawala wa Mungu kama kiini cha ujumbe wao.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |