Muazuki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa mpya |
dNo edit summary |
||
Mstari 13: | Mstari 13: | ||
| nusufamilia = [[Faboideae]] (Mimea inayofanana na mharagwe) |
| nusufamilia = [[Faboideae]] (Mimea inayofanana na mharagwe) |
||
| jenasi = ''[[Vigna]]'' |
| jenasi = ''[[Vigna]]'' |
||
| bingwa_wa_jenasi = [[Gaetano Savi|Savi]] |
|||
| spishi = ''[[Vigna angularis|V. angularis]]'' |
| spishi = ''[[Vigna angularis|V. angularis]]'' |
||
| bingwa_wa_spishi = ([[Carl Ludwig Willdenow|Willd.]]) [[Jisaburo Ohwi|Ohwi]] & [[Hiroyoshi Ohashi|H. Ohashi]] |
| bingwa_wa_spishi = ([[Carl Ludwig Willdenow|Willd.]]) [[Jisaburo Ohwi|Ohwi]] & [[Hiroyoshi Ohashi|H. Ohashi]] |
Toleo la sasa la 19:15, 31 Mei 2021
Muazuki (Vigna angularis) | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Muazuki
| ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Muazuki (Vigna angularis) ni mmea wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa azuki. Asili yake ni Asia ya Mashariki, Japani hasa. Katika Afrika ya Mashariki mmea huu hukuzwa mahali pachache, huko Somalia hasa. Azuki ni kiambato muhimu cha chakula cha Kisomali.
Picha[hariri | hariri chanzo]
-
Majani
-
Ua
-
Tumba bichi
-
Azuki