Muazuki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa mpya
 
dNo edit summary
 
Mstari 13: Mstari 13:
| nusufamilia = [[Faboideae]] (Mimea inayofanana na mharagwe)
| nusufamilia = [[Faboideae]] (Mimea inayofanana na mharagwe)
| jenasi = ''[[Vigna]]''
| jenasi = ''[[Vigna]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[Gaetano Savi|Savi]]
| spishi = ''[[Vigna angularis|V. angularis]]''
| spishi = ''[[Vigna angularis|V. angularis]]''
| bingwa_wa_spishi = ([[Carl Ludwig Willdenow|Willd.]]) [[Jisaburo Ohwi|Ohwi]] & [[Hiroyoshi Ohashi|H. Ohashi]]
| bingwa_wa_spishi = ([[Carl Ludwig Willdenow|Willd.]]) [[Jisaburo Ohwi|Ohwi]] & [[Hiroyoshi Ohashi|H. Ohashi]]

Toleo la sasa la 19:15, 31 Mei 2021

Muazuki
(Vigna angularis)
Muazuki
Muazuki
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Nusufamilia: Faboideae (Mimea inayofanana na mharagwe)
Jenasi: Vigna
Savi
Spishi: V. angularis
(Willd.) Ohwi & H. Ohashi

Muazuki (Vigna angularis) ni mmea wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa azuki. Asili yake ni Asia ya Mashariki, Japani hasa. Katika Afrika ya Mashariki mmea huu hukuzwa mahali pachache, huko Somalia hasa. Azuki ni kiambato muhimu cha chakula cha Kisomali.

Picha[hariri | hariri chanzo]