Philip Isdor Mpango : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
d Masahihisho aliyefanya 196.249.102.136 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Idd ninga
Tag: Rollback
d Protected "Philip Isdor Mpango" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (itakwisha 10:12, 23 Aprili 2021 (UTC)) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (itakwisha 10:12, 23 Aprili 2021 (UTC)))
(Hakuna tofauti)

Pitio la 10:12, 16 Aprili 2021

Philip Isdor Mpango (amezaliwa katika wilaya ya Buhigwe, Mkoa wa Kigoma, 14 Julai 1957) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM.

Aliteuliwa kuwa mbunge kwa Uteuzi wa rais John Magufuli kwa miaka 20152020 [1], halafu akachaguliwa kwa miaka 2020-2025, lakini tarehe 30 Machi 2021 aliteuliwa na kuthibitishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania[2].

Marejeo

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/dk-philip-mpango-ni-nani--3342068