Asilimia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: '''Asilimia''' ni njia ya kutaja uhusiano kati ya viasi viwili. Alama yake ni '''<big>%</big>'''. Kiasi kimoja huteuliwa kuwa ni namba ya 100 ya kiasi kingine. Sehemu yake ya mia ni 1 %. ... |
No edit summary |
||
Mstari 11: | Mstari 11: | ||
Kuna viwango kadhaa za sehemu zinazokumbukwa kirahisi kwa asilimia: |
Kuna viwango kadhaa za sehemu zinazokumbukwa kirahisi kwa asilimia: |
||
Nusu = 50% |
*Nusu = 50% |
||
robo = 25% |
*robo = 25% |
||
robo tatu = 75% |
*robo tatu = 75% |
||
humusi = 20% |
*humusi = 20% |
||
*humusi mbili= 40% |
|||
theluthi = 33% |
*theluthi = 33% |
||
*ya kumi = 10% |
|||
Pitio la 22:47, 5 Machi 2008
Asilimia ni njia ya kutaja uhusiano kati ya viasi viwili. Alama yake ni %. Kiasi kimoja huteuliwa kuwa ni namba ya 100 ya kiasi kingine. Sehemu yake ya mia ni 1 %.
Sasa inawezekana kugawa kiasi kingine kwa ile 1% na kuona inashika asilimia ngapi za kiasi husianifu.
Mfano
Mfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu?
Jibu: Jumla ni 250 hivyo 250 zachukuliwa kama asilimia mia moja. Sehemu ya mia moja yaani 1 % ni 2.5. Asilimia 65 ni 2.5 zidisha 65 jumla 162.5. Maana yake kuanzia maksi zisizopungua 163 mwanafunzi amepita.
Sehemu na asilimia
Kuna viwango kadhaa za sehemu zinazokumbukwa kirahisi kwa asilimia:
- Nusu = 50%
- robo = 25%
- robo tatu = 75%
- humusi = 20%
- humusi mbili= 40%
- theluthi = 33%
- ya kumi = 10%
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |