Asilimia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
New page: '''Asilimia''' ni njia ya kutaja uhusiano kati ya viasi viwili. Alama yake ni '''<big>%</big>'''. Kiasi kimoja huteuliwa kuwa ni namba ya 100 ya kiasi kingine. Sehemu yake ya mia ni 1 %. ...
 
No edit summary
Mstari 11: Mstari 11:
Kuna viwango kadhaa za sehemu zinazokumbukwa kirahisi kwa asilimia:
Kuna viwango kadhaa za sehemu zinazokumbukwa kirahisi kwa asilimia:


Nusu = 50%
*Nusu = 50%
robo = 25%
*robo = 25%
robo tatu = 75%
*robo tatu = 75%
humusi = 20%
*humusi = 20%
*humusi mbili= 40%
theluthi = 33%
*theluthi = 33%
*ya kumi = 10%





Pitio la 22:47, 5 Machi 2008

Asilimia ni njia ya kutaja uhusiano kati ya viasi viwili. Alama yake ni %. Kiasi kimoja huteuliwa kuwa ni namba ya 100 ya kiasi kingine. Sehemu yake ya mia ni 1 %.

Sasa inawezekana kugawa kiasi kingine kwa ile 1% na kuona inashika asilimia ngapi za kiasi husianifu.

Mfano

Mfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu?

Jibu: Jumla ni 250 hivyo 250 zachukuliwa kama asilimia mia moja. Sehemu ya mia moja yaani 1 % ni 2.5. Asilimia 65 ni 2.5 zidisha 65 jumla 162.5. Maana yake kuanzia maksi zisizopungua 163 mwanafunzi amepita.

Sehemu na asilimia

Kuna viwango kadhaa za sehemu zinazokumbukwa kirahisi kwa asilimia:

  • Nusu = 50%
  • robo = 25%
  • robo tatu = 75%
  • humusi = 20%
  • humusi mbili= 40%
  • theluthi = 33%
  • ya kumi = 10%