Santo Domingo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 88 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q34820 (translate me)
No edit summary
Mstari 32: Mstari 32:
|}
|}


'''Santo Domingo''' ni mji mkuu wa [[Jamhuri ya Dominika]]. Ni kati ya miji ya kale kabisa ya Karibi ilikuwa mji wa kwanza ulioanzishwa na Wahispania katika [[Amerika]]. Kuna hapa majengo ya kwanza ya historia ya kikoloni katika Amerika yote yaani kanisa la kwanza, chuo kikuu cha kwanza na hospitali ya kwanza.
'''Santo Domingo''' ni [[mji mkuu]] wa [[Jamhuri ya Dominikana]]. Ni kati ya [[miji]] ya kale kabisa ya [[Karibi]]: ilikuwa mji wa kwanza ulioanzishwa na [[Wahispania]] katika [[Amerika]]. Kuna [[Jengo|majengo]] ya kwanza ya [[historia]] ya kikoloni katika Amerika yote yaani [[kanisa]] la kwanza, [[chuo kikuu]] cha kwanza na [[hospitali]] ya kwanza.


Idadi ya wakazi ni mnamo milioni mbili.
[[Idadi]] ya wakazi ni mnamo [[milioni]] mbili.


Wakati wa udikteta wa [[Rafael Trujillo]] mji ukaitwa "Ciudad Trijillo" (mji wa Trujillo) kati 1936 hadi 1961.
Wakati wa udikteta wa [[Rafael Trujillo]] mji uliitwa "Ciudad Trijillo" (mji wa Trujillo) kati ya miaka [[1936]] hadi [[1961]].


== Historia ==
== Historia ==
Santo Domingo imekaliwa na Wahispania tangu 1496 ikaundwa kama mji mwaka [[1498]] na Bartolomeo Kolumbus (kakaye [[Kristoforo Kolumbus]]) kwenye mdomo wa mto Ozama gegründet ikapewa jina "La Nueva Isabela" kwa heshima ya malkia ya [[Hispania]]. Ikaharibika na [[tufani]] mwaka 1502 na kujengwa upya upande wa magharibi ya mto.
Santo Domingo imekaliwa na Wahispania tangu mwaka [[1496]] ikaundwa kama mji mwaka [[1498]] na Bartolomeo Kolumbus (kaka ya [[Kristoforo Kolumbus]]) kwenye [[Mdomo|mdomo]] wa [[mto Ozama]] ikapewa jina "La Nueva Isabela" kwa [[heshima]] ya [[malkia]] ya [[Hispania]]. Ikaharibika na [[tufani]] mwaka [[1502]] na kujengwa upya upande wa magharibi wa [[mto]].


Kanisa Kuu la Santa Maria de la Encarnación ni kanisa la kale la Amerika yote lilioanzishwa mwaka 1521 na kukamilika 1540. Hadi 1992 lilikuwa na kaburi ambalo kwa imani ya wenyeji lilikuwa la Kristoforo Kolumbus lililohamishwa kwa sherehe ya miaka 500 ya kufika kwake Amerika na kupelekwa katika jengo jipya.
[[Kanisa Kuu]] la Santa Maria de la Encarnación ni kanisa la kale la Amerika yote lilioanzishwa mwaka [[1521]] na kukamilika [[1540]]. Hadi mwaka [[1992]] lilikuwa na [[kaburi]] ambalo kwa [[imani]] ya wenyeji lilikuwa la Kristoforo Kolumbus lililohamishwa kwa [[sherehe]] ya miaka 500 ya kufika kwake Amerika na kupelekwa katika jengo jipya.


Chuo Kikuu kikaanzishwa mjini mwaka [[1538]].
Chuo Kikuu kikaanzishwa mjini mwaka [[1538]].


Mji wa Kale uliingizwa na [[UNESCO]] katika orodha la "[[urithi wa dunia]]".
Mji wa Kale uliingizwa na [[UNESCO]] katika orodha ya "[[urithi wa dunia]]".



{{mbegu-jio-Karibi}}
{{mbegu-jio-Karibi}}


[[Jamii:Jamhuri ya Dominika]]
[[Jamii:Jamhuri ya Dominikana]]
[[Jamii:Miji Mikuu Amerika]]
[[Jamii:Miji Mikuu Amerika]]
[[Jamii:Urithi wa Dunia]]

Pitio la 13:27, 3 Aprili 2021

Santo Domingo

Santo Domingo ya kihistoria (Kanisa Kuu)
Habari za kimsingi
Utawala Wilaya ya Kitaifa (Distrito Nacional)
Anwani ya kijiografia Latitudo: 18°30′N - Longitudo: 69°59′W
Kimo 14 m juu ya UB
Eneo - 80 km²
Wakazi - mji: 913,540 (2001)
- rundiko la mji: 2,500,000
Msongamano wa watu watu 1,141 kwa km²
Simu +1809 (nchi yote)
Mahali

Santo Domingo ni mji mkuu wa Jamhuri ya Dominikana. Ni kati ya miji ya kale kabisa ya Karibi: ilikuwa mji wa kwanza ulioanzishwa na Wahispania katika Amerika. Kuna majengo ya kwanza ya historia ya kikoloni katika Amerika yote yaani kanisa la kwanza, chuo kikuu cha kwanza na hospitali ya kwanza.

Idadi ya wakazi ni mnamo milioni mbili.

Wakati wa udikteta wa Rafael Trujillo mji uliitwa "Ciudad Trijillo" (mji wa Trujillo) kati ya miaka 1936 hadi 1961.

Historia

Santo Domingo imekaliwa na Wahispania tangu mwaka 1496 ikaundwa kama mji mwaka 1498 na Bartolomeo Kolumbus (kaka ya Kristoforo Kolumbus) kwenye mdomo wa mto Ozama ikapewa jina "La Nueva Isabela" kwa heshima ya malkia ya Hispania. Ikaharibika na tufani mwaka 1502 na kujengwa upya upande wa magharibi wa mto.

Kanisa Kuu la Santa Maria de la Encarnación ni kanisa la kale la Amerika yote lilioanzishwa mwaka 1521 na kukamilika 1540. Hadi mwaka 1992 lilikuwa na kaburi ambalo kwa imani ya wenyeji lilikuwa la Kristoforo Kolumbus lililohamishwa kwa sherehe ya miaka 500 ya kufika kwake Amerika na kupelekwa katika jengo jipya.

Chuo Kikuu kikaanzishwa mjini mwaka 1538.

Mji wa Kale uliingizwa na UNESCO katika orodha ya "urithi wa dunia".

Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Santo Domingo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.