Ulafi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kuondoa matini iliyohusu upande wa kimwili Tag: 2017 source edit |
No edit summary |
||
Mstari 8: | Mstari 8: | ||
Inakadiriwa kuwa siku hizi mtu 1 kati ya 3 anakula kuliko [[mwili]] wake unavyohitaji, na hivyo anasababisha [[maradhi]] mbalimbali yampate. |
Inakadiriwa kuwa siku hizi mtu 1 kati ya 3 anakula kuliko [[mwili]] wake unavyohitaji, na hivyo anasababisha [[maradhi]] mbalimbali yampate. |
||
Upande wa [[maadili]] unahesabiwa kuwa kimojawapo kati ya |
Upande wa [[maadili]] unahesabiwa kuwa [[dhambi]], tena kimojawapo kati ya [[vilema vikuu]], ambavyo katika [[mapokeo]] ya [[Wakristo]] mbalimbali ni [[mizizi ya dhambi]] nyingine, hata kubwa zaidi. |
||
{{mbegu}} |
{{mbegu}} |
Toleo la sasa la 11:06, 3 Machi 2021
Makala hii inahusu mtazamo wa mtu. Kuhusu matokeo ya kimwili ona unene wa kupindukia, ulevi
Vilema vikuu |
---|
Ulafi (pamoja na ulevi) ni hamu isiyoratibiwa ya kula (na kunywa).
Tabia hiyo ina madhara makubwa kwa afya ya binadamu.
Inakadiriwa kuwa siku hizi mtu 1 kati ya 3 anakula kuliko mwili wake unavyohitaji, na hivyo anasababisha maradhi mbalimbali yampate.
Upande wa maadili unahesabiwa kuwa dhambi, tena kimojawapo kati ya vilema vikuu, ambavyo katika mapokeo ya Wakristo mbalimbali ni mizizi ya dhambi nyingine, hata kubwa zaidi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |