Ulafi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 197.187.181.155 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Legobot Tag: Rollback |
kuondoa matini iliyohusu upande wa kimwili Tag: 2017 source edit |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
<sup> Makala hii inahusu mtazamo wa mtu. Kuhusu matokeo ya kimwili ona [[unene wa kupindukia]], [[ulevi]]</sup> |
|||
[[File:Hieronymus Bosch 094.jpg|thumb|left|300px|Sehemu inayohusu ulafi katika mchoro wa [[Hieronymus Bosch]] kuhusu [[vilema vikuu]] saba na [[vikomo]] vinne vya binadamu.]] |
[[File:Hieronymus Bosch 094.jpg|thumb|left|300px|Sehemu inayohusu ulafi katika mchoro wa [[Hieronymus Bosch]] kuhusu [[vilema vikuu]] saba na [[vikomo]] vinne vya binadamu.]] |
||
{{Vilema vikuu}} |
{{Vilema vikuu}} |
||
Mstari 7: | Mstari 8: | ||
Inakadiriwa kuwa siku hizi mtu 1 kati ya 3 anakula kuliko [[mwili]] wake unavyohitaji, na hivyo anasababisha [[maradhi]] mbalimbali yampate. |
Inakadiriwa kuwa siku hizi mtu 1 kati ya 3 anakula kuliko [[mwili]] wake unavyohitaji, na hivyo anasababisha [[maradhi]] mbalimbali yampate. |
||
Upande wa [[maadili]] unahesabiwa kuwa kimojawapo kati ya |
Upande wa [[maadili]] unahesabiwa kuwa kimojawapo kati ya makosa, katika mapokeo ya Wakristo kadhaa uko kati ya [[mizizi ya dhambi]]. |
||
{{mbegu}} |
{{mbegu}} |
Pitio la 06:02, 3 Machi 2021
Makala hii inahusu mtazamo wa mtu. Kuhusu matokeo ya kimwili ona unene wa kupindukia, ulevi
Vilema vikuu |
---|
Ulafi (pamoja na ulevi) ni hamu isiyoratibiwa ya kula (na kunywa).
Tabia hiyo ina madhara makubwa kwa afya ya binadamu.
Inakadiriwa kuwa siku hizi mtu 1 kati ya 3 anakula kuliko mwili wake unavyohitaji, na hivyo anasababisha maradhi mbalimbali yampate.
Upande wa maadili unahesabiwa kuwa kimojawapo kati ya makosa, katika mapokeo ya Wakristo kadhaa uko kati ya mizizi ya dhambi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |