Kito (madini) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: it:Pietra preziosa |
d roboti Nyongeza: ro:Piatră preţioasă |
||
Mstari 51: | Mstari 51: | ||
[[pt:Gema (mineralogia)]] |
[[pt:Gema (mineralogia)]] |
||
[[qu:Umiña]] |
[[qu:Umiña]] |
||
[[ro:Piatră preţioasă]] |
|||
[[ru:Драгоценные камни]] |
[[ru:Драгоценные камни]] |
||
[[simple:Jewel]] |
[[simple:Jewel]] |
Pitio la 07:00, 4 Machi 2008
Vito (pia: johari, mawe ya thamani) ni madini adimu na ngumu zinazopendekeza kwa sababu ya rangi yao. Vinapendwa na watu na kutumiwa kama mapambo. Kito chenye thamani kubwa ni almasi.
Mara nyingi vinakatwa, kusuguliwa na kung'arishwa kwa namna mbalimbali na kutumiwa pamoja na metali adili kama dhahabu au fedha kuwa mapambo kama pete, hereni, mkufu au bizimu.
Mifano ya vito ni
Lulu na korali hutajwa wakati mwingine pia kama kito ingawa si minerali asilia lakini dutu inayotengenezwa na wanyama.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |