Adalbert wa Magdeburg : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 4: | Mstari 4: | ||
Tangu kale ametambuliwa kuwa [[mtakatifu]]. |
Tangu kale ametambuliwa kuwa [[mtakatifu]]. |
||
[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[20 Juni]]. |
[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[20 Juni]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. |
||
==Maisha== |
==Maisha== |
||
Mstari 25: | Mstari 25: | ||
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
||
== |
==Tanbihi== |
||
{{reflist}} |
{{reflist}} |
||
==Marejeo== |
|||
* {{cite book |title= The Penguin Dictionary of Saints|last1=Attwater|first1=Donald|authorlink= |last2=John|first2=Catherine Rachel|year=1995|publisher=Penguin|location=London|isbn=0-14-051312-4|oclc=60310282|edition=3rd|origyear=1965}} |
* {{cite book |title= The Penguin Dictionary of Saints|last1=Attwater|first1=Donald|authorlink= |last2=John|first2=Catherine Rachel|year=1995|publisher=Penguin|location=London|isbn=0-14-051312-4|oclc=60310282|edition=3rd|origyear=1965}} |
||
* {{Catholic|wstitle=St. Adalbert (of Germany)}} |
|||
==Viungo vya nje== |
==Viungo vya nje== |
Pitio la 13:33, 1 Februari 2021
Adalbert wa Magdeburg (alifariki 20 Juni, 981) alikuwa mmisionari na askofu mkuu wa kwanza wa mji wa Magdeburg, Ujerumani.
Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 20 Juni[1].
Maisha
Adalbert alizaliwa Ujerumani na kuwa mtawa katika monasteri ya Wabenedikto wa mji wa Trier.
Baada ya kuwekwa wakfu kama askofu, mwaka 961 alitumwa mjini Kiev (Ukraine) kama mmisionari.
Kundi lake lote liliuawa, naye peke yake aliweza kurudi Ujerumani.
Baadaye aliteuliwa kuwa askofu mkuu wa dayosisi ya Magdeburg.
Alianzisha madayosisi mapya mengi upande wa Mashariki wa Ujerumani, kama katika miji ya Naumburg, Meisen, Merseburg, Brandenburg, Havelberg, na Poznan.
Mwanafunzi wake mmoja aliyetangazwa kuwa mtakatifu kama yeye ni Adalbert wa Praha.
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
Marejeo
- Attwater, Donald; John, Catherine Rachel (1995) [1965]. The Penguin Dictionary of Saints (toleo la 3rd). London: Penguin. ISBN 0-14-051312-4. OCLC 60310282.
Viungo vya nje
- http://www.catholic-forum.com/Saints/sainta3f.htm Archived 13 Oktoba 2008 at the Wayback Machine.
- http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=1113
- http://www.highbeam.com/doc/1O100-AdalbertofMagdeburg.html Archived 21 Agosti 2008 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |