Bernardino wa Siena : Tofauti kati ya masahihisho
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8 |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Pintoricchio 019.jpg|right|thumb|250px|[[Pinturicchio]] (1486), ''Utukufu wa Mt. Bernardino da Siena'', [[Roma]], kanisa la [[Santa Maria in Aracoeli]]]] |
[[Picha:Pintoricchio 019.jpg|right|thumb|250px|[[Pinturicchio]] (1486), ''Utukufu wa Mt. Bernardino da Siena'', [[Roma]], kanisa la [[Santa Maria in Aracoeli]]]] |
||
[[Image:Bernardino - Della confessione regole 12., Adi ultimo di gennaio MCCCCLXXXXIIII - 2473056.tif|thumb|''Della confessione regole 12.'', 1494]] |
[[Image:Bernardino - Della confessione regole 12., Adi ultimo di gennaio MCCCCLXXXXIIII - 2473056.tif|thumb|''Della confessione regole 12.'', 1494]] |
||
'''Bernardino wa Siena''' ([[8 Septemba]] [[1380]] - [[20 Mei]] [[1444]]) alikuwa [[mtawa]] wa shirika la [[Ndugu Wadogo]] na [[kasisi]] wa [[Kanisa Katoliki]]. |
'''Bernardino wa Siena''' ([[8 Septemba]] [[1380]] - [[20 Mei]] [[1444]]) alikuwa [[mtawa]] wa shirika la [[Ndugu Wadogo]] na [[kasisi]] wa [[Kanisa Katoliki]]. |
||
== Maisha ya awali == |
== Maisha ya awali == |
||
[[File:Sancti Bernardini Senensis Opera omnia.tif|thumb|''Sancti Bernardini Senensis Opera omnia'', 1745]] |
[[File:Sancti Bernardini Senensis Opera omnia.tif|thumb|''Sancti Bernardini Senensis Opera omnia'', 1745]] |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
== Wito na utume == |
== Wito na utume == |
||
Akiwa na miaka 22, alijiunga na [[utawa]], katika tawi la [[urekebisho]] wa [[Waobservanti]], ambalo akawa nguzo yake kuu, pamoja na [[Yohane wa Kapestrano]], [[Yakobo wa Marka]] na [[Alberto wa Sarteano]]. |
Akiwa na miaka 22, alijiunga na [[utawa]], katika [[tawi]] la [[urekebisho]] wa [[Waobservanti]], ambalo akawa [[nguzo]] yake kuu, pamoja na [[Yohane wa Kapestrano]], [[Yakobo wa Marka]] na [[Alberto wa Sarteano]]. |
||
Kisha akaanza [[utume]] mkubwa akihubiri kwa mafanikio katika [[Italia Kaskazini]]. Kazi yake |
Kisha akaanza [[utume]] mkubwa akihubiri kwa mafanikio katika [[Italia Kaskazini]]. [[Kazi]] yake iliamsha katika [[Kanisa]] [[imani]] na [[ibada]] kwa [[Jina la Yesu]] na kurekebisha [[maadili]] ya wengi. Ndiye aliyesambaza kila mahali vibao vyenye [[kifupisho]] [[IHS|JHS]] (''Jesus Hominum Salvator'') kikiwa na [[msalaba]] juu yake na kuzungukwa na [[jua]] lenye miali 12. |
||
== Kifo == |
== Kifo == |
||
Mstari 18: | Mstari 16: | ||
== Heshima baada ya kifo == |
== Heshima baada ya kifo == |
||
Kutokana na sifa yake kubwa, alitangazwa [[mtakatifu]] na [[Papa Nikolasi V]] mwaka [[1450]]. |
Kutokana na sifa yake kubwa, alitangazwa [[mtakatifu]] na [[Papa Nikolasi V]] mwaka [[1450]]. |
||
[[Sikukuu]] yake inaadhimishwa kila tarehe [[20 Mei]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. |
|||
==Tazama pia== |
==Tazama pia== |
||
Mstari 27: | Mstari 27: | ||
== Marejeo == |
== Marejeo == |
||
{{reflist}} |
|||
* {{1911|article=St. Bernardin Of Siena|url=http://www.1911encyclopedia.org/St._Bernardin_Of_Siena}} |
|||
* {{Catholic|wstitle=St. Bernardine of Siena}} |
|||
== Viungo vya nje == |
== Viungo vya nje == |
||
⚫ | |||
* [http://www.aug.edu/augusta/iconography/bernardino.html St. Bernardino page] {{Wayback|url=http://www.aug.edu/augusta/iconography/bernardino.html |date=20120428181646 }} at ''Christian Iconography'' |
* [http://www.aug.edu/augusta/iconography/bernardino.html St. Bernardino page] {{Wayback|url=http://www.aug.edu/augusta/iconography/bernardino.html |date=20120428181646 }} at ''Christian Iconography'' |
||
{{mbegu-Mkristo}} |
|||
⚫ | |||
[[Jamii:Waliozaliwa 1380]] |
[[Jamii:Waliozaliwa 1380]] |
||
[[Jamii:Waliofariki 1444]] |
[[Jamii:Waliofariki 1444]] |
Pitio la 11:45, 22 Januari 2021
Bernardino wa Siena (8 Septemba 1380 - 20 Mei 1444) alikuwa mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo na kasisi wa Kanisa Katoliki.
Maisha ya awali
Alizaliwa na kubatizwa Massa Marittima (Siena) tarehe 8 Septemba 1380 katika familia Albizzeschi kutoka Siena, ambako alihamia baada ya kubaki yatima, ili alelewe na kusomeshwa na ndugu zake.
Wito na utume
Akiwa na miaka 22, alijiunga na utawa, katika tawi la urekebisho wa Waobservanti, ambalo akawa nguzo yake kuu, pamoja na Yohane wa Kapestrano, Yakobo wa Marka na Alberto wa Sarteano.
Kisha akaanza utume mkubwa akihubiri kwa mafanikio katika Italia Kaskazini. Kazi yake iliamsha katika Kanisa imani na ibada kwa Jina la Yesu na kurekebisha maadili ya wengi. Ndiye aliyesambaza kila mahali vibao vyenye kifupisho JHS (Jesus Hominum Salvator) kikiwa na msalaba juu yake na kuzungukwa na jua lenye miali 12.
Kifo
Alifariki huko L'Aquila, tarehe 20 Mei 1444.
Heshima baada ya kifo
Kutokana na sifa yake kubwa, alitangazwa mtakatifu na Papa Nikolasi V mwaka 1450.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 20 Mei[1].
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Marejeo
Viungo vya nje
- St. Bernardino page Archived 28 Aprili 2012 at the Wayback Machine. at Christian Iconography
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |