Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Rescuing 3 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8
 
Mstari 13: Mstari 13:


== Viungo vya nje ==
== Viungo vya nje ==
* [http://www.UAQ24.com UAQ24.com] - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain
* [http://www.UAQ24.com UAQ24.com] {{Wayback|url=http://www.uaq24.com/ |date=20140211021357 }} - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain


=== Magazeti ya Falme za Kiarabu ===
=== Magazeti ya Falme za Kiarabu ===

Toleo la sasa la 21:19, 20 Januari 2021

Mji wa Umm al-Quwain
Bendera ya Umm al-Quwain.
Falme za Kiarabu.

Umm al-Quwain (kwa Kiarabu: أمّ القيوين) ni emirati mojawapo ya Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.

Iko kaskazini mwa shirikisho, kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.

Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).

Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la km² 750. Haina mapato makubwa kama Abu Dhabi kutokana na mafuta, hivyo imebaki mji mdogo.

Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuvi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii utalii umekuwa muhimu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Magazeti ya Falme za Kiarabu[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Umm al-Quwain kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.