Yohannes III : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: de:Johannes III. (Äthiopien), fr:Yohannès III d'Éthiopie |
d roboti Nyongeza: he:יוהנס השלישי, קיסר אתיופיה |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
[[en:Yohannes III of Ethiopia]] |
[[en:Yohannes III of Ethiopia]] |
||
[[fr:Yohannès III d'Éthiopie]] |
[[fr:Yohannès III d'Éthiopie]] |
||
[[he:יוהנס השלישי, קיסר אתיופיה]] |
Pitio la 14:34, 29 Februari 2008
Yohannes III (amezaliwa takriban 1797) alikuwa mfalme wa Ethiopia. Kati ya 1840 na 1851, Yohannes III na binamu yake, Sahle Dengel, waliondoshana madarakani na kurudishiwa utawala mara kwa mara. Aliyemaliza fitina hiyo na kuwafuata ni Tewodros II. Yohannes III alikuwa mwana wa mwisho wa nasaba ya Solomoni. Haijulikani kama amefariki mwaka wa 1851, Tewodros II alipoanza utawala, au akiendelea kuishi hadi miaka ya 1870.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |