Owen Chamberlain : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ku:Owen Chamberlain
Mstari 23: Mstari 23:
[[id:Owen Chamberlain]]
[[id:Owen Chamberlain]]
[[ja:オーウェン・チェンバレン]]
[[ja:オーウェン・チェンバレン]]
[[ku:Owen Chamberlain]]
[[lt:Owen Chamberlain]]
[[lt:Owen Chamberlain]]
[[lv:Ovens Čemberlens]]
[[lv:Ovens Čemberlens]]

Pitio la 20:43, 28 Februari 2008

Owen Chamberlain (10 Julai, 192028 Februari, 2006) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alifanya utafiti wa fizikia ya kiini na kugundua vipande vingi vya atomu. Mwaka wa 1959, pamoja na Emilio Segre alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.