Derek Barton : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: ar, ca, de, es, fi, fr, gl, ja, nl, no, pl, pt, ro, ru, sk, sl, sv, zh
Mstari 20: Mstari 20:
[[fr:Derek Harold Richard Barton]]
[[fr:Derek Harold Richard Barton]]
[[gl:Derek Harold Richard Barton]]
[[gl:Derek Harold Richard Barton]]
[[it:Derek Harold Richard Barton]]
[[ja:デレック・バートン]]
[[ja:デレック・バートン]]
[[nl:Derek Harold Richard Barton]]
[[nl:Derek Harold Richard Barton]]

Pitio la 21:57, 27 Februari 2008

Derek Harold Richard Barton (8 Septemba, 191816 Machi, 1998) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza mfumo wa molekuli mbalimbali. Mwaka wa 1969, pamoja na Odd Hassel alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia. Mwaka wa 1972 alipewa cheo cha "Sir".