Burgenland : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 4: | Mstari 4: | ||
== Jiografia == |
== Jiografia == |
||
Jimbo la Burgenland |
Jimbo la Burgenland limepakana na nchi za [[Slovakia]], [[Hungaria]] na [[Slovenia]] na majimbo ya [[Austria Chini]] na [[Steiermark]]. |
||
[[Eisenstadt]] ndio [[jiji]] kubwa tu lenye [[idadi]] ya wakazi zaidi ya 14,816. |
[[Eisenstadt]] ndio [[jiji]] kubwa tu lenye [[idadi]] ya wakazi zaidi ya 14,816. |
||
[[Leitha]], [[Wulka]] |
[[Leitha]], [[Wulka]] ndiyo [[mito]] wa Burgenland |
||
== Picha za Salzburg == |
== Picha za Salzburg == |
Pitio la 05:29, 13 Desemba 2020
Burgenland (kwa Kijerumani pia: Burgenland) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi 294.316 kwenye eneo la km² 3.965.
Mji mkuu ni Eisenstadt. Waziri mkuu ni Hans-Peter Doskozil (SPÖ).
Jiografia
Jimbo la Burgenland limepakana na nchi za Slovakia, Hungaria na Slovenia na majimbo ya Austria Chini na Steiermark.
Eisenstadt ndio jiji kubwa tu lenye idadi ya wakazi zaidi ya 14,816.
Leitha, Wulka ndiyo mito wa Burgenland
Picha za Salzburg
-
Kanisa la Mtakatifu Martin
-
Bendera ya Burgenland
Tovuti za Nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Austria Chini (Niederösterreich) • Austria Juu (Oberösterreich) • Burgenland • Karinthia (Kärnten) • Salzburg • Steiermark • Tirol • Vienna (Wien) • Vorarlberg |
Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Burgenland kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |