Lusia wa Sirakusa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Saint Lucy by Domenico di Pace Beccafumi.jpg|thumb|right|250px|''Mt. Lusia'' alivyochorwa na [[Domenico Beccafumi]], [[1521]], ([[Pinacoteca Nazionale (Siena)|Pinacoteca Nazionale]], [[Siena]])]]
[[Image:Saint Lucy by Domenico di Pace Beccafumi.jpg|thumb|right|250px|''Mt. Lusia'' alivyochorwa na [[Domenico Beccafumi]], [[1521]], ([[Pinacoteca Nazionale (Siena)|Pinacoteca Nazionale]], [[Siena]])]]

'''Lusia wa Sirakusa''' ([[283]]–[[304]]), maarufu kama ''Mtakatifu Lusia'' alikuwa [[msichana]] [[bikira]] na [[tajiri]] wa [[Sirakusa]], [[Sicilia]], [[Italia]] ambaye alitetea [[imani]] yake ya [[Ukristo|Kikristo]] hadi kuuawa wakati wa [[dhuluma]] ya [[kaisari]] [[Dioklesyano]].
'''Lusia wa Sirakusa''' ([[283]]–[[304]]), maarufu kama ''Mtakatifu Lusia'' alikuwa [[msichana]] [[bikira]] na [[tajiri]] wa [[Sirakusa]], [[Sicilia]], [[Italia]] ambaye alitetea [[imani]] yake ya [[Ukristo|Kikristo]] hadi kuuawa wakati wa [[dhuluma]] ya [[kaisari]] [[Dioklesyano]].


Anachorwa akishika mkononi [[sinia]] yenye [[macho]] yake aliyonyofolewa kabla hajauawa.
Kwa sababu hiyo anaheshimiwa tangu zamani kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]]. [[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[13 Desemba]].


Kwa sababu hiyo anaheshimiwa tangu zamani kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
Anachorwa akishika mkononi [[sinia]] yenye macho yake aliyonyofolewa kabla hajauawa.

[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[13 Desemba]] <ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.


==Tazama pia==
==Tazama pia==
Mstari 12: Mstari 13:
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]

==Tanbihi==
{{reflist}}


== Viungo vya nje ==
== Viungo vya nje ==
Mstari 24: Mstari 28:
[[Category:Waliozaliwa 283]]
[[Category:Waliozaliwa 283]]
[[Category:Waliofariki 304]]
[[Category:Waliofariki 304]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]
[[Category:Mabikira]]
[[Category:Mabikira]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Italia]]

Pitio la 12:23, 11 Desemba 2020

Mt. Lusia alivyochorwa na Domenico Beccafumi, 1521, (Pinacoteca Nazionale, Siena)

Lusia wa Sirakusa (283304), maarufu kama Mtakatifu Lusia alikuwa msichana bikira na tajiri wa Sirakusa, Sicilia, Italia ambaye alitetea imani yake ya Kikristo hadi kuuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano.

Anachorwa akishika mkononi sinia yenye macho yake aliyonyofolewa kabla hajauawa.

Kwa sababu hiyo anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Desemba [1].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.