Edmundi Gennings : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 4: Mstari 4:
Baada ya kuhamia [[Ufaransa]], aliingia [[seminari]] kwa lengo la kurudi kwao kufanya [[uchungaji]] usioruhusiwa na [[serikali]], akapewa [[daraja]] ya [[upadri]] ([[1590]]).
Baada ya kuhamia [[Ufaransa]], aliingia [[seminari]] kwa lengo la kurudi kwao kufanya [[uchungaji]] usioruhusiwa na [[serikali]], akapewa [[daraja]] ya [[upadri]] ([[1590]]).


Hapo alirudi [[London]] lakini baada ya muda mfupi [[kifodini|aliuawa]] kwa kunyongwa kikatili chini ya [[sheria]].
Hapo alirudi [[London]] lakini baada ya muda mfupi [[kifodini|aliuawa]] kwa kunyongwa kikatili na kukatwa vipandevipande chini ya [[sheria]].


[[Papa Paulo VI]] [[tarehe]] [[25 Oktoba]] [[1970]] alimtangaza kuwa [[mtakatifu]] [[mfiadini]] pamoja na wenzake 39.
[[Papa Paulo VI]] [[tarehe]] [[25 Oktoba]] [[1970]] alimtangaza kuwa [[mtakatifu]] [[mfiadini]] pamoja na wenzake 39.

Toleo la sasa la 07:40, 9 Desemba 2020

Mt. Edmundi.

Edmundi Gennings (Lichfield, Uingereza, 1567London, 10 Desemba 1591) alikuwa Mkristo wa Kanisa la Anglikana kabla hajajiunga na Kanisa Katoliki.

Baada ya kuhamia Ufaransa, aliingia seminari kwa lengo la kurudi kwao kufanya uchungaji usioruhusiwa na serikali, akapewa daraja ya upadri (1590).

Hapo alirudi London lakini baada ya muda mfupi aliuawa kwa kunyongwa kikatili na kukatwa vipandevipande chini ya sheria.

Papa Paulo VI tarehe 25 Oktoba 1970 alimtangaza kuwa mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 39.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifodini chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.