Kibarabara : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d wikidata interwiki
Nyongeza jina la Kiswahili
Mstari 16: Mstari 16:
* ''[[Miliaria]]'' <small>[[Christian Ludwig Brehm|Brehm]], 1831</small>
* ''[[Miliaria]]'' <small>[[Christian Ludwig Brehm|Brehm]], 1831</small>
}}
}}
'''Vibarabara''' ni [[ndege]] wadogo wa [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Emberizidae]]. Wana domo fupi na nene lifaalo kula mbegu. Kichwa chao kina bombwe bainifu kwa kawaida. Vibarabara wanatokea [[Afrika]], [[Asia]] na [[Ulaya]]. Spishi nyingine za familia hii zinatokea [[Amerika]]. Vibarabara hula [[mbegu]] lakini hulisha makinda [[mdudu|wadudu]]. Hulijenga tago lao kwa [[nyasi|manyasi]] na nyuzinyuzi ardhini au katika [[kichaka]] kifupi. Jike huyataga [[yai|mayai]] 3-5.
'''Vibarabara''' au '''bendera''' ni [[ndege]] wadogo wa [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Emberizidae]]. Wana domo fupi na nene lifaalo kula mbegu. Kichwa chao kina bombwe bainifu kwa kawaida. Vibarabara wanatokea [[Afrika]], [[Asia]] na [[Ulaya]]. Spishi nyingine za familia hii zinatokea [[Amerika]]. Vibarabara hula [[mbegu]] lakini hulisha makinda [[mdudu|wadudu]]. Hulijenga tago lao kwa [[nyasi|manyasi]] na nyuzinyuzi ardhini au katika [[kichaka]] kifupi. Jike huyataga [[yai|mayai]] 3-5.


==Spishi za Afrika==
==Spishi za Afrika==

Pitio la 13:20, 30 Oktoba 2020

Kibarabara
Kibarabara-kaya
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Passeroidea
Familia: Emberizidae (Ndege walio na mnasaba na vibarabara)
Vigors, 1831
Ngazi za chini

Jenasi 2:

Vibarabara au bendera ni ndege wadogo wa familia ya Emberizidae. Wana domo fupi na nene lifaalo kula mbegu. Kichwa chao kina bombwe bainifu kwa kawaida. Vibarabara wanatokea Afrika, Asia na Ulaya. Spishi nyingine za familia hii zinatokea Amerika. Vibarabara hula mbegu lakini hulisha makinda wadudu. Hulijenga tago lao kwa manyasi na nyuzinyuzi ardhini au katika kichaka kifupi. Jike huyataga mayai 3-5.

Spishi za Afrika

Spishi za Ulaya na Asia

Picha