New Jersey : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 22: Mstari 22:
|website = http://www.nj.gov/
|website = http://www.nj.gov/
}}
}}
[[Picha:Map of New Jersey NA.png|thumb|right]]
'''New Jersey''' (Jersey Mpya) ni [[jimbo]] la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika au [[Marekani]]. Mji mkuu ni [[Trenton]] lakini mji mkubwa ni [[Newark]]. Uko kwenye pwani ya [[Atlantiki]] upande wa mashariki ya Marekani bara.
'''New Jersey''' (Jersey Mpya) ni [[jimbo]] la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika au [[Marekani]]. Mji mkuu ni [[Trenton]] lakini mji mkubwa ni [[Newark]]. Uko kwenye pwani ya [[Atlantiki]] upande wa mashariki ya Marekani bara.


Impepakana na [[New York]], [[Delaware]] na [[Pennsylvania]]. Upande wa mashariki maji ya [[Atlantiki]].
Impepakana na [[New York]], [[Delaware]] na [[Pennsylvania]]. Upande wa mashariki maji ya [[Atlantiki]].


Jimbo lina wakazi wapatao 8,682,661 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 22,608.
Jimbo lina wakazi wapatao 8,682,661 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 22,608.


New Jersey ilikuwa koloni ya [[Uingereza]] tangu 1729 na pia moja kati ya koloni 13 zilizoasi dhidi ya Uingereza mwaka [[1776]] na kuunda nchi mpya ya Marekani tangu [[1778]].
New Jersey ilikuwa koloni ya [[Uingereza]] tangu 1729 na pia moja kati ya koloni 13 zilizoasi dhidi ya Uingereza mwaka [[1776]] na kuunda nchi mpya ya Marekani tangu [[1778]].

[[Picha:Map of New Jersey NA.png|thumb|left]]


==Viungo vya Nje==
==Viungo vya Nje==

Pitio la 10:20, 2 Oktoba 2020








New Jersey

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Trenton
Eneo
 - Jumla 22,588 km²
 - Kavu 19,211 km² 
 - Maji 3,377 km² 
Tovuti:  http://www.nj.gov/

New Jersey (Jersey Mpya) ni jimbo la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Trenton lakini mji mkubwa ni Newark. Uko kwenye pwani ya Atlantiki upande wa mashariki ya Marekani bara.

Impepakana na New York, Delaware na Pennsylvania. Upande wa mashariki maji ya Atlantiki.

Jimbo lina wakazi wapatao 8,682,661 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 22,608.

New Jersey ilikuwa koloni ya Uingereza tangu 1729 na pia moja kati ya koloni 13 zilizoasi dhidi ya Uingereza mwaka 1776 na kuunda nchi mpya ya Marekani tangu 1778.

Viungo vya Nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya New Jersey bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu New Jersey kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.