Fransisko wa Paola : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Franziskus von Paola.jpg|thumb|right|200px]]
[[Picha:Franziskus von Paola.jpg|thumb|right|200px]]
'''Mtakatifu Fransisko wa Paola''' (kwa [[Kiitalia]] ''Francesco da [[Paola]]''; [[27 Machi]] [[1416]] – [[2 Aprili]] [[1507]]) alikuwa [[mtawa]] nchini [[Italia]].
'''Fransisko wa Paola''' (kwa [[Kiitalia]] ''Francesco da [[Paola]]''; [[27 Machi]] [[1416]] – [[2 Aprili]] [[1507]]) alikuwa [[mtawa]] nchini [[Italia]].


Ametambuliwa na [[Kanisa Katoliki]] chini ya [[Papa Leo X]] kuwa [[mtakatifu]] kuanzia mwaka [[1519]]. Tarehe ya [[kif]]o chake, yaani [[2 Aprili]], pia ni [[sikukuu]] yake.
Ametambuliwa na [[Kanisa Katoliki]] chini ya [[Papa Leo X]] kuwa [[mtakatifu]] kuanzia mwaka [[1519]].
Tarehe ya [[kif]]o chake, yaani [[2 Aprili]], pia ni [[sikukuu]] yake<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.


== Maisha ==
== Maisha ==
Fransisko alizaliwa kwa [[muujiza]] katika mji wa [[Paola]], mkoa wa [[Calabria]], [[Italia]], mwaka 1416. Wazazi wake walikuwa wamefikia uzee bila ya kuweza kuzaa, lakini walimuomba [[Fransisko wa Asizi]] na kuweka [[nadhiri]] kuwa mtoto wao ataitwa Fransisko. Ndipo walipojaliwa kuzaa.
Fransisko alizaliwa kwa [[muujiza]] katika [[mji]] wa [[Paola]], [[Mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Calabria]], [[Italia]], mwaka 1416. [[Wazazi]] wake walikuwa wamefikia [[uzee]] bila ya kuweza kuzaa, lakini walimuomba [[Fransisko wa Asizi]] na kuweka [[nadhiri]] kuwa [[mtoto]] wao ataitwa Fransisko. Ndipo walipojaliwa kuzaa.


Tangu [[utoto]]ni alishika maisha magumu ya [[sala]] na [[toba]] upwekeni.
Tangu [[utoto]]ni alishika [[maisha]] magumu ya [[sala]] na [[toba]] [[makao ya upweke|upwekeni]].


Alianzisha shirika la watawa [[wakaa-pweke]], ambalo baadaye likawa [[Utawa wa Wadogo Kabisa]], likapata kibali kutoka kwa [[Papa]] mwaka [[1506]]. Pamoja na kuahidi [[mashauri ya Kiinjili]] matatu ya kawaida, wanaahidi pia kuishi daima kama wakati wa [[Kwaresima]].
Alianzisha [[Utawa|shirika la watawa]] [[wakaa-pweke]], ambalo baadaye likawa [[Utawa wa Wadogo Kabisa]], likapata kibali kutoka kwa [[Papa]] mwaka [[1506]]. Pamoja na kuahidi [[mashauri ya Kiinjili]] matatu ya kawaida, wanaahidi pia kuishi daima kwa toba kama wakati wa [[Kwaresima]].


[[Kanuni]] yake ni ya pekee, ingawa inafuata ile ya [[Ndugu Wadogo]] ikiiongezea [[malipizi]] makali ya [[mababu wa jangwani]].
[[Kanuni]] yake ni ya pekee, ingawa inafuata kwa jumla ile ya [[Ndugu Wadogo]] ikiiongezea [[malipizi]] makali ya [[mababu wa jangwani]].


Kauli-mbiu yake ilikuwa neno "caritas" (kwa [[Kilatini]], "[[upendo]]").
[[Kaulimbiu]] yake ilikuwa [[neno]] "caritas" (kwa [[Kilatini]], "[[upendo]]").


Fransisko alikufa mwaka 1507 huko [[Tours]], [[Ufaransa]] alipokuwa ametumwa na Papa.
Fransisko alikufa mwaka 1507 huko [[Tours]], [[Ufaransa]] alipokuwa ametumwa na [[Papa]].


==Tazama pia==
==Tazama pia==

Pitio la 10:24, 25 Septemba 2020

Fransisko wa Paola (kwa Kiitalia Francesco da Paola; 27 Machi 14162 Aprili 1507) alikuwa mtawa nchini Italia.

Ametambuliwa na Kanisa Katoliki chini ya Papa Leo X kuwa mtakatifu kuanzia mwaka 1519.

Tarehe ya kifo chake, yaani 2 Aprili, pia ni sikukuu yake[1].

Maisha

Fransisko alizaliwa kwa muujiza katika mji wa Paola, mkoa wa Calabria, Italia, mwaka 1416. Wazazi wake walikuwa wamefikia uzee bila ya kuweza kuzaa, lakini walimuomba Fransisko wa Asizi na kuweka nadhiri kuwa mtoto wao ataitwa Fransisko. Ndipo walipojaliwa kuzaa.

Tangu utotoni alishika maisha magumu ya sala na toba upwekeni.

Alianzisha shirika la watawa wakaa-pweke, ambalo baadaye likawa Utawa wa Wadogo Kabisa, likapata kibali kutoka kwa Papa mwaka 1506. Pamoja na kuahidi mashauri ya Kiinjili matatu ya kawaida, wanaahidi pia kuishi daima kwa toba kama wakati wa Kwaresima.

Kanuni yake ni ya pekee, ingawa inafuata kwa jumla ile ya Ndugu Wadogo ikiiongezea malipizi makali ya mababu wa jangwani.

Kaulimbiu yake ilikuwa neno "caritas" (kwa Kilatini, "upendo").

Fransisko alikufa mwaka 1507 huko Tours, Ufaransa alipokuwa ametumwa na Papa.

Tazama pia

Marejeo

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
  1. Martyrologium Romanum