Korongo (Gruidae) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Nyongeza subdivision kwenye sanduku
Nyongeza spishi katika sanduku
Mstari 12: Mstari 12:
| familia = [[Gruidae]] (Ndege walio na mnasaba na korongo)
| familia = [[Gruidae]] (Ndege walio na mnasaba na korongo)
| bingwa_wa_familia = [[Nicholas Aylward Vigors|Vigors]], 1825
| bingwa_wa_familia = [[Nicholas Aylward Vigors|Vigors]], 1825
| subdivision = '''Jenasi 4:'''
| subdivision = '''Jenasi 4, spishi 15:'''
* ''[[Anthropoides]]'' <small>[[Louis Jean Pierre Vieillot|Vieillot]], 1816</small>
* ''[[Anthropoides]]'' <small>[[Louis Jean Pierre Vieillot|Vieillot]], 1816</small>
** ''[[Anthropoides paradisea|A. paradisea]]''
** ''[[Anthropoides virgo|A. virgo]]''
* ''[[Balearica]]'' <small>[[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1760</small>
* ''[[Balearica]]'' <small>[[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1760</small>
** ''[[Balearica pavonina|B. pavonina]]''
** ''[[Balearica regulorum|B. regulorum]]''
* ''[[Bugeranus]]'' <small>[[Constantin Wilhelm Lambert Gloger|Gloger]], 1841</small>
* ''[[Bugeranus]]'' <small>[[Constantin Wilhelm Lambert Gloger|Gloger]], 1841</small>
** ''[[Bugeranus carunculatus|B. carunculatus]]''
* ''[[Grus]]'' <small>[[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1760</small>
* ''[[Grus]]'' <small>[[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1760</small>
** ''[[Grus americana|G. americana]]''
** ''[[Grus antigone|G. antigone]]''
** ''[[Grus canadensis|G. canadensis]]''
** ''[[Grus grus|G. grus]]''
** ''[[Grus japonensis|G. japonensis]]''
** ''[[Grus leucogeranus|G. leucogeranus]]''
** ''[[Grus monacha|G. monacha]]''
** ''[[Grus nigricollis|G. nigricollis]]''
** ''[[Grus rubicunda|G. rubicunda]]''
** ''[[Grus vipio|G. vipio]]''
}}
}}
'''Korongo''' hawa (pia '''mana''') ni [[ndege]] wa [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Gruidae]] wenye domo fupi na jembamba kuliko lile la [[korongo (Ciconiidae)|korongo]] wa familia ya [[Ciconiidae]]. [[Spishi]] nyingi hufanya mikogo ya kubembeleza jike wakitoa sauti kubwa. Huugana kwa maishi yao yote. Spishi za nchi za halijoto wastani huhama kila mwaka kabla ya wakati wa baridi. Korongo hawa hupenda kuwa pamoja na huhama kwa makundi makubwa. Hula kila kitu kinachopatikana, kama [[panya]], [[mtambaazi|watambaazi]], [[amfibia]] au [[samaki]], hata [[nafaka]] na [[tunda|matunda]] madogo. Spishi za korongo zinatokea mabara yote ghairi ya [[Amerika ya Kusini]].
'''Korongo''' hawa (pia '''mana''') ni [[ndege]] wa [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Gruidae]] wenye domo fupi na jembamba kuliko lile la [[korongo (Ciconiidae)|korongo]] wa familia ya [[Ciconiidae]]. [[Spishi]] nyingi hufanya mikogo ya kubembeleza jike wakitoa sauti kubwa. Huugana kwa maishi yao yote. Spishi za nchi za halijoto wastani huhama kila mwaka kabla ya wakati wa baridi. Korongo hawa hupenda kuwa pamoja na huhama kwa makundi makubwa. Hula kila kitu kinachopatikana, kama [[panya]], [[mtambaazi|watambaazi]], [[amfibia]] au [[samaki]], hata [[nafaka]] na [[tunda|matunda]] madogo. Spishi za korongo zinatokea mabara yote ghairi ya [[Amerika ya Kusini]].

Pitio la 20:41, 23 Septemba 2020

Korongo
Korongo-taji kijivu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Gruiformes (Ndege kama korongo)
Familia: Gruidae (Ndege walio na mnasaba na korongo)
Vigors, 1825
Ngazi za chini

Jenasi 4, spishi 15:

Korongo hawa (pia mana) ni ndege wa familia ya Gruidae wenye domo fupi na jembamba kuliko lile la korongo wa familia ya Ciconiidae. Spishi nyingi hufanya mikogo ya kubembeleza jike wakitoa sauti kubwa. Huugana kwa maishi yao yote. Spishi za nchi za halijoto wastani huhama kila mwaka kabla ya wakati wa baridi. Korongo hawa hupenda kuwa pamoja na huhama kwa makundi makubwa. Hula kila kitu kinachopatikana, kama panya, watambaazi, amfibia au samaki, hata nafaka na matunda madogo. Spishi za korongo zinatokea mabara yote ghairi ya Amerika ya Kusini.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengi

Picha