Georgia : Tofauti kati ya masahihisho
d Kipala alihamisha ukurasa wa Georgia (nchi) hadi Georgia |
No edit summary |
||
Mstari 16: | Mstari 16: | ||
|government_type = [[Jamhuri]] |
|government_type = [[Jamhuri]] |
||
|leader_titles = [[Rais]]<br />[[Waziri Mkuu]] |
|leader_titles = [[Rais]]<br />[[Waziri Mkuu]] |
||
|leader_names = [[ |
|leader_names = [[Salome Zourabichvili]]<br />[[Giorgi Gakharia]] |
||
|area_rank = ya 120 |
|area_rank = ya 120 |
||
|area_magnitude = 1 E10 |
|area_magnitude = 1 E10 |
Pitio la 03:35, 1 Septemba 2020
Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama Georgia (maana)
Georgia |
---|
Georgia (kwa Kigeorgia: საქართველო "Sakartvelo") ni nchi ya Kaukazi kati ya Ulaya na Asia kwenye mwambao wa Bahari Nyeusi.
Imepakana na Urusi, Uturuki, Armenia na Azerbaijan.
Jiografia
Georgia ni hasa nchi ya milima ya Kaukazi inayofikia kimo cha mita 5,068. Kati ya safu mbili za milima kuna tambarare ya Kolkhis.
Upande wa magharibi unaathiriwa na Bahari Nyeusi: una hali ya hewa poa na mvua nyingi inayofaa kwa kilimo hasa cha mizabibu.
Maeneo ya Abkhazia na Ossetia ya Kusini yamedai uhuru na kwa sasa hayapo chini ya serikali kuu.
Historia
Georgia ilikuwa sehemu ya Umoja wa Kisovyeti lakini imekuwa nchi huru tangu 1991.
Utamaduni
Georgia ina wakazi milioni 3.7. Zaidi ya milioni 1 hukaa mjini Tbilisi.
Wakazi walio wengi (71%) husema Kigeorgia lakini kuna vikundi vya wasemaji wa Kirusi (9%), Kiarmenia (7%), Kiazeri (6%) na lugha nyingine.
Wageorgia wengi ni Wakristo wanaofuata Kanisa la Kiorthodoksi la Georgia (83.9%). Kuna pia wafuasi wa Kanisa la Kitume la Armenia (3.9%) na Wakatoliki (0.8%). Waislamu ni 9.9%, wakati Wayahudi wanazidi kuhama.
Watu maarufu
Mgeorgia anayejulikana zaidi duniani alikuwa Josef Stalin, mtawala wa Urusi wakati wa Ukomunisti.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Serikali
- President of Georgia
- Government of Georgia
- Ministry of Foreign Affairs of Georgia
- Department of Tourism and Resorts
- American Chamber of Commerce in Georgia
- Chief of State and Cabinet Members
- Taarifa za jumla
- Georgia entry at The World Factbook
- Georgia at UCB Libraries GovPubs
- Georgia katika Open Directory Project
- Georgia profile from the BBC News
- Wikimedia Atlas of Georgia
- Association of Modern Scientific Investigation – (AMSI)
- News media
- Civil Georgia, daily news about Georgia
- Crisis profile, Georgia, Abkhazia, S. Ossetia From Reuters Alertnet
- Georgian Daily, all the latest news from Georgia and related to Georgia
- NewsGeorgia Google Translation into English from the NewsGeorgia (Russian Language) site
- GeorgiaCaucasus.com GeorgiaCaucasus.com – online info Magazine dedicated to Georgia and Caucasus
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China. |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Georgia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Georgia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |