Muziki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
No edit summary
Mstari 25: Mstari 25:
*[[The Rasmus]], [[Alma]], [[Nightwish]], [[Lordi]] (Finland)
*[[The Rasmus]], [[Alma]], [[Nightwish]], [[Lordi]] (Finland)
*[[Tiësto]], [[Afrojack]], [[Hardwell]], [[Martin Garrix]], [[Armin van Buuren]], [[Nicky Romero]], [[Sbmg]], [[Boef]], [[Laidback Luke]], [[Oliver Heldens]], [[Natalie La Rose]] (Netherlands)
*[[Tiësto]], [[Afrojack]], [[Hardwell]], [[Martin Garrix]], [[Armin van Buuren]], [[Nicky Romero]], [[Sbmg]], [[Boef]], [[Laidback Luke]], [[Oliver Heldens]], [[Natalie La Rose]] (Netherlands)
*Diamond platnum, Ben Paul, Juma Jux, Maua Sama, Vannesa Mdee, Mwana Fa, Joh Makini, Fid Q, Nandy, Bilnass, Belle 9, Harmonize, Rayvanny, Zuchu, Queen Darling, Ibrah, Young Lunya, Baraka Da Prince, Lady Jay Dee, Baba Levo. (Tanzania)
<br>
<gallery>
<gallery>
Gzuz_und_Bonez_MC_-_Pusher_Apparel.jpg|Gzuz and Bonez MC
Gzuz_und_Bonez_MC_-_Pusher_Apparel.jpg|Gzuz and Bonez MC

Pitio la 12:20, 23 Agosti 2020

Mchoro wa Ugiriki wa Kale juu ya chombo ukionyesha kipindi cha muziki (510 KK hivi).

Muziki ni aina ya sanaa inayotumia sauti mbalimbali: za kibinadamu na za ala za muziki, ama kwa pamoja au kila moja pekee.

Asili ya neno iko katika lugha ya Kigiriki ambamo huitwa μουσική (mousikee).

Baadhi ya sifa za muziki ni uzito wa sauti (pitch) na wizani au mahadhi (rhythm).

Aina ya muziki inayopatikana kote duniani ni nyimbo ambazo ni maneno yanayotolewa kwa sauti na mahadhi fulani mara nyingi pamoja na ala za muziki. Kwa wanaorekodi sauti, wao huenda kwa studio kurekodi na huchukuliwa kwa kinasasauti kilichoambatanishwa na tarakilishi na kudhibitiwa na kompresa.

Muziki katika Ulaya

Muziki maarufu:

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Muziki kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.