Kwanza (sarafu) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: ca:Kwanza
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
<small>''Makala hii yahusu pesa ya Angola. Kuhusu mto Kwanza angalia [[Kwanza (mto)]].''</small>

'''Kwanza''' (kifupi: '''KZ''') ni [[fedha]] inayotumika kwa malipo halali katika nchi ya [[Angola]]. Wakati wa uhuru Angloa imerithi pesa ya [[escudo]] kutoka [[Ureno]]. Mwaka 1977 Kwanza yenye 100 Lwei imeingizwa nchini kama pesa ya kwanza ya kitaifa. Kutokana na kushuka kwa thamani ya fedha mara kwa mara pesa ya Kwanza imebadilishwa mara nne tangu 1977:
'''Kwanza''' (kifupi: '''KZ''') ni [[fedha]] inayotumika kwa malipo halali katika nchi ya [[Angola]]. Wakati wa uhuru Angloa imerithi pesa ya [[escudo]] kutoka [[Ureno]]. Mwaka 1977 Kwanza yenye 100 Lwei imeingizwa nchini kama pesa ya kwanza ya kitaifa. Kutokana na kushuka kwa thamani ya fedha mara kwa mara pesa ya Kwanza imebadilishwa mara nne tangu 1977:
* 1977 Kwanza
* 1977 Kwanza

Pitio la 12:50, 24 Juni 2006

Makala hii yahusu pesa ya Angola. Kuhusu mto Kwanza angalia Kwanza (mto).

Kwanza (kifupi: KZ) ni fedha inayotumika kwa malipo halali katika nchi ya Angola. Wakati wa uhuru Angloa imerithi pesa ya escudo kutoka Ureno. Mwaka 1977 Kwanza yenye 100 Lwei imeingizwa nchini kama pesa ya kwanza ya kitaifa. Kutokana na kushuka kwa thamani ya fedha mara kwa mara pesa ya Kwanza imebadilishwa mara nne tangu 1977:

  • 1977 Kwanza
  • 1977 Kwanza Novo (Kwanza Mpya)
  • 1995 Kwanza Reajustado (Kwanza iliyosahihishwa)
  • 1999 Kwanza (Kwanza Reajustado milioni moja zilibadilishwa kuwa Kwanza 1 mpya)

Sarafu za centavos 10 na 50 hazipatikani kwani hazinunui kitu tena.